WAKANDARASI WALIOSHINDA ZABUNI ZA MIRADI MBALIMBALI YA UJENZI WAPEWA MIKATABA
Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Prof. Riziki Shemdoe (kushoto) akiongea na sehemu ya wakandarasi walioshinda zabuni za miradi mbalimbali ya ujenzi ikiwemo ya minada na majengo kwenye kampasi za LITA (hawapo pichani) ambapo amewasisitiza wakandarasi hao kutekeleza miradi kwa wakati, kuwasiliana kwa haraka pindi inapobidi na ushirikishwaji wa karibu wa viongozi wa kisiasa kwenye maeneo ya miradi, kikao hicho kimefanyika kwenye ukumbi wa NBC Jijini Dodoma (24.1.2024) kulia ni Naibu katibu Mkuu (Mifugo) Prof. Daniel Mushi. Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Prof. Riziki Shemdoe (katikati) akisaini mkataba wa makubaliano ya ujenzi wa soko la upili lililopo kishapu mkoani Shinyanga, Handeni mkoani Tanga na Nzega mkoani Tabora na mwakilishi wa kampuni ya MACEA Construction Ltd, Bw. Godlove Gandye (kushoto) kulia ni Naibu Katibu Mkuu (Mifugo) Prof. Daniel Mushi (24.01.2024) Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Prof. Riziki Shemdoe ...