Nav bar

Jumatano, 28 Oktoba 2015

GLOBAL FOOT-AND-MOUTH DISEASE RESEARCH ALLIANCE 2015 SCIENTIFIC MEETING 20-22 OCTOBER 2015,HANOI,VIETNAM.


Mr Raphael Samwel Sallu A Manager at Center for Infections Disease and Biotechnology at  Tanzania Veterinary Laboratory Agency   Given A Best Poster Award For Best Oral Presentation From Mr. Alasdair King Director of MSD Animal Health  During GFRA 2015 Scientific Meeting Held at Vietnam.
MSD Animal Health Team in Picture together with Global Foot - And - Mouth Disease Researchers at the GFRA 2015 Scientific Meeting.
A Certificate of  Best Poster Award Given to Mr. Raphael Samuel Sallu on 20-22 October  Marked As a Best Oral Presentation During GFRA Meeting 2015


Jumatatu, 26 Oktoba 2015

DKT MARIA MASHINGO NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI


Dkt Maria Mashingo Naibu Katibu Mkuu akiwa ofisini kwake Mvuvi House
Dkt Maria Mshingo Ana  Utaaluma wa Hali ya Juu wa Uboreshaji wa Malisho Nagazi ya Uzamivu Kutoka Chuo Kikuu cha ...................... Nchini Marekani

Alhamisi, 15 Oktoba 2015

MKUTANO WA KAMISHENI YA UVUVI YA NCHI ZA KUSINI MAGHARIBI YA BAHARI YA HINDI (SOUTH WEST INDIAN OCEAN COMMISION) ILIYOFANYIKA MAPUTO - MSUMBIJI


Mwenyekiti wa Kamisheni ya Uvuvi ya Nchi za kusini Magharibi ya Bahari ya Hindi ambaye pia ni Mkurugenzi wa Uvuvi Tanzania Bw. Hosea Mbilinyi akipokea cheti cha Utendaji bora kutoka kwa Waziri wa Uvuvi wa Msumbiji Mhe. Mondlande

 

Bi. Nancy Gitonga kutoka Kenya aliyekuwa Mwenyekiti wa kwanza wa Kamisheni ya SWIOFC akitoa salamu kwa Mhe. Waziri wa Uvuvi Msumbiji na Wajumbe waliohudhuria mkutano huo

Waziri wa Uvuvi wa Msumbiji Mhe. Mondlane akiwakaribisha Wajumbe wa Kamisheni ya Uvuvi Kusini Magharibi Bahari ya Hindi

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Zanzibar Dr. Kassim Juma akiwa kwenye mkutano wa Kamisheni ya Uvuvi ya Nchi za Kusini Magharibi ya Bahari ya Hindi

Wajumbe wa WWF wakiwa kwenye mkutano huo wa Kamisheni ya SWIOFC

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Zanzibar Dr. Kassim Juma akisalimiana na Mjumbe wa WWF Washington Marekani

Mwenyekiti wa kamati ya Sayansi ya SWIOFC Dr. Kimani kutoka Kenya akiwasilisha kazi za kamati hiyo kwa Makamishina wa SWIOFC

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Zanzibar Dr. Kassim akiwa kwenye mapumziko baada ya kushiriki kikao cha SWIOFC

Mkurugenzi wa Uvuvi kutoka Kenya Dr. Harryson Charo akichangia mada kwenye Mkutano wa SWIOFC


  Wajumbe kutoka Nchi mbalimbali waliohudhuria mkutano wa SWIOFC






Mkurugenzi Mkuu wa Deep Sea Authority Tznzania Bw. Zahor Kassi akiwa kwenye Mkutano wa SWIOFC


  Bandari ya Uvuvi Maputo Msumbiji na kulia ni Kiwanda cha samaki

Kiwanda cha samki kwenye Bandari ya Uvuvi Maputo Msumbiji

Bandari ya Uvuvi Maputo

Baadhi ya vyombo vya wavuvi wadogo kwenye Bandari ya Uvuvi

Meli 35 za Uvuvi wa mishipi (Longlines) za makampuni Binafsi na zitafanya Msumbiji kuwa moja ya Nchi zenye meli zake zinazovua EEZ na Bandari kuu

Katibu Mkuu wa Uvuvi Zanzibar akiwa pamoja na Mkurugenzi wa Uvuvi Kenya kwenye bandari ya Uvuvi Msumbiji

UTAFITI WA UKUSANYAJI TAKWIMU ZA MIFUGO ILIYOFANYIKA KIJIJI CHA WAMI WILAYA YA MVOMERO

Wataalamu wakiangalia mbwa mlemavu wa mguu

Mbuzi mwenye mapacha wa tano (5) kijiji cha Wami Sokoine Wilaya ya Mvomero
Ndama mlemavu wa mguu
Ndama mlemavu akionekana kwa karibu
Mfugaji akionesha kuku wa kienyeji wa Utafiti wa namna bora ya upatikanaji wa takwimu za mazao ya mifugo
Ufuatiliaji wa takwimu za Uzalishaji maziwa katika zoezi la namna ya kuboresha upatikanaji wa takwimu hizo
Mtafiti kutoka UNE kwa kushirikiana na Wizara ya Mifugo akifuatilia takwimu
Watafiti wakifafanua mambo mbalimbali yanayohusu Utafiti wa Ukusanyaji wa takwimu za mifugo

Wafugaji wakifuatilia maelekezo ya namna ya utekelezaji wa zoezi la takwimu
Wafugaji wakiwa katika moja ya namna ya utoaji taarifa kwa kutumia majadiliano na michoro
Maandalizi ya ugawaji wa vifaa vya zoezi la kukusanya takwimu za mifugo

Watafiti wa UNE (University of New England) na Wizara ya Maendleo ya Mifugo na Uvuvi wakiwa katika hatua za awali katika zoezi la namna bora ya upatikanaji wa takwimu za mifugo katika kijiji cha Makuture Wilaya ya Mvomero


Watafiti na Wafugaji katika picha ya pamoja

Ijumaa, 2 Oktoba 2015

MKUTANO WA MSEMAJI WA WIZARA NA WAANDISHI WA HABARI KATIKA SHAMBA LA RUSHU RUNCHI KISARAWE - MAFIZI ILIYOFANYIKA TAREHE 01/10/2015

Msemaji wa Wizara ya  Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Bi. Judith Mhina akifungua Mkutano huo uliofanyika  Kisarawe tarehe 01/10/2015
Mmoja kati ya madume ya Ngombe wa nyama aina ya Borani yanayofungwa katika Rushu Ranchi
Afisa habari kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi Fatma akijitambulisha kwa Wadau na Washiriki

Mkurugenzi na Mwenyekiti wa Rushu Ranchi Bw. Mabula Charles akielezea mafanikio na changamoto zilizopo katika Rushu Ranchi iliyopo Wilaya ya Kisarawe

Msajili wa Bodi ya Nyama Bi. Suzan Kiango akiongelea utunzaji wa nyama bora inapotoka machinjioni
Dkt. Herbert Lyimo Mkurugenzi wa Utafiti na Ugani akielezea tekinolojia mpya ya kielectroniki iliyoanza kutumika kusajili mifugo
Wadau na Washiriki wa Mkuatno huo wakisikiliza kwa makini maelezo yaliyokuwa yanatolewa na Dkt. Hamisi Mkuli  Idara ya Ukuzaji viumbe kwenye maji (hayupo pichani)
Afisa Mifugo kutoka Wilaya ya Kisarawe akielezea mafanikio ya Rushu Ranchi pamoja na ushrikiano mzuri walionao na Wanakijiji
Mkurugenzi wa Uzalishaji Mifugo na Masoko Bi. Anusiata Njombe akijibu maswali yaliyoulizwa na Bw. Mapunda (hayupo pichani)
Mkurugenzi na Mwenyekiti wa Rushu Ranchi Bw. Mabula Charles akionesha mmoja wa ngombe wa nyama




Mfugaji kutoka Wilaya ya Rufiji Bw. Gumbo Matubuki akijitambulisha kwa Wahiriki wa Mkutano huo
Baadhi ya Ngombe Dume aina ya Borani katika Ranchi Rushu




Mkurugenzi wa Uzalishaji Mifugo na Masoko Bi. Anuciata Njombe akitembelea mifugo mbalimbali katika shamba la Rushu Rachi





Makundi mbalimbali ya mbuzi waliopo katika Rushu Ranchi