Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt David Mathayo David, akihutubia wananchi na wafanyakazi wa Ranchi ya Kongwa wakati wa Uzinduzi wa Duka la Kisasa la kuuza nyama
![](//3.bp.blogspot.com/-J4QZxuVin-4/Th75jzf_ROI/AAAAAAAAAPA/3paPZJUKorY/s400/5x7+%2528117%2529.JPG) |
Waziri
wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt David Mathayo David (MB)
akiangalia ghala la kuhifadhia malisho ya mifugo Ranchi ya Kongwa
![](//4.bp.blogspot.com/-8ECFbYt1r0g/Th72JE4pd0I/AAAAAAAAAO0/X__LeGr0ZHM/s400/5x7+%252818%2529.JPG)
|
|
Waziri
wa Mendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt David Mathayo David (MB) akiwa
katika picha ya pamoja na Uongozi wa Shirika la Ranchi za Taifa
(NARCO) |
|