WAZIRI ATEMBELEA RANCHI YA KONGWA DODOMA

Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt David Mathayo David,  akihutubia wananchi na wafanyakazi wa Ranchi ya Kongwa wakati wa Uzinduzi wa Duka la Kisasa la kuuza nyama


Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt David Mathayo David (MB) akiangalia ghala la kuhifadhia malisho ya mifugo Ranchi ya Kongwa 
 
Waziri wa Mendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt David Mathayo David (MB) akiwa katika  picha ya pamoja na Uongozi wa Shirika la Ranchi za Taifa  (NARCO)

 

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

WATAALAMU WATAKIWA KUKUSANYA TAKWIMU SAHIHI ZA KITAFITI

UTEKELEZAJI WA UFUGAJI SAMAKI KWA VIZIMBA WAANZA ZIWA TANGANYIKA

TANZANIA DAIRY BOARD