Afisa Uvuvi Mkuu kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Bw. Frederick Mussa akitoa elimu ya uhandaaji na ulishaji wa samaki wanaofugwa kwenye vizimba wakati wa mafunzo ya Ufugaji wa samaki kwa njia ya Vizimba kwa wanufaika (hawapo pichani) wa mkopo wa vizimba na pembejeo zake kwa vyama vya Ushirika, Vikundi na watu binafsi kwenye Halmashauri ya Buchosa,Wilaya ya Sengerema Mkoani Mwanza, Juni 08,2023. Afisa Uvuvi Mkuu kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi chini ya dawati la Sekta binafsi, Mwalimu Ambakisye Simtoe akitoa elimu juu ya ujasiliamali, marejesho ya mikopo na utunzaji wa kumbukumbu kwa wanufaika wa mkopo wa vizimba na pembejeo zake kwa vyama vya Ushirika, Vikundi na watu binafsi kwenye Halmashauri ya Buchosa, Wilaya ya Sengerema Mkoa wa Mwanza, Juni 08,2023 Afisa Uvuvi Mwandamizi kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi Bw. Clemence Katunzi (kushoto) akiwaelekeza kwa vitendo jinsi ya kutengeneza kizimba wanufaika wa mkopo...