Nav bar

Ijumaa, 18 Septemba 2015

MKUTANO WA TUGHE ULIOFANYIKA TAREHE 17/09/2015 KATIKA VIWANJA VYA WIZARA YA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI TEMEKE

Kaimu Mkurugenzi Rasilimali watu na Utawala Bw.Simbani Liganga (katikati) akifungua  Rasmi Mkutano wa Tughe na wafanyakazi wa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi



Wafanyakazi wa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi wakifuatilia Mada mbalimbali zilizotolewa na Viongozi kutoka Tughe

Mwenyekiti wa Tughe tawi la Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Bw.Silas William akimkaribisha Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na uvuvi  Dkt Yohana Budeba  kufunga mkutano huo



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni