Nav bar

Ijumaa, 3 Julai 2015

MAFUNZO YA WANYAMA FUGWA ILIYOFANYIKA MIKADI BEACH RESORT KIGAMBONI (DONKEY HARNESS WORKSHOP SHOW CASE)

Bw. Alex kutoka Donkey Suctuary UK akitoa mafunzo  jinsi ya kumuandaa  punda kabla ya kubebeshwa mizigo ili wasipate michubuko iliyofanyika Mikadi beach resort kigamboni
Mkurugenzi Mkuu wa Tanzania Animal Welfare Society (TAWESO) Bw. Thomas Kahema akielezea jinsi punda wanavyotakiwa kupewa matunzo kabla hawajabebeshwa mizigo
Mmoja wa wawezeshaji kutoka MAWO Bw. Richard  Itaba akionyesha  jinsi punda anavyotakiwa kuwekewa vifaa vyake kabla ya kubebeshwa mizigo

Punda anatakiwa awe katika hali inayoonekana hapo ili asipate mchubuko wakati wa kubeba mizigo

Bw. Richard Itaba akionesha baadhi ya Vifaa anavyowekewa punda kabla hajabebeshwa mizigo

Picha ya pamoja na Mkurugenzi  Msaidizi udhibiti wa magonjwa ya mlipuko Usafirishaji Mifugo na Mazao Dkt. Niwaeli kulia ni Dkt. Christine Bakuname Msaidizi wa dawati la Ustawi wa Wanyama pamoja na wawezeshaji kutoka maeneo mbalimbali
Sanamu ya Punda likiwa katika muonekano baada ya kuvishwa vifaa husika kulia ni muwzeshaji kutoka ASPA Bw. Livistone
 Mkurugenzi  Msaidizi udhibiti wa magonjwa ya mlipuko Usafirishaji Mifugo na Mazao Dkt. Niwaeli kulia ni Bw. Cris kutoka Donkey Suctuary kutoka Uingereza  kushoto ni Dkt. Christine Bakuname Msaidizi wa dawati la Ustawi wa Wanyama  anafata Bw. Thomas Kahema Mkurugenzi kutoka TAWESO pamoja na Bw. Alex kutoka Donkey Sunctuary kutoka Uingereza wakisubiria muda wa kugawa vyeti kwa wahitimu ya mafunzo hayo.
Bw. Thomas Kahema Mkurugenzi kutoka TAWESO akikabidhiwa cheti Mkurugenzi  Msaidizi udhibiti ya magonjwa ya mlipuko Usafirishaji Mifugo na Mazao Dkt. Niwaeli cha mafunzo ya utunzaji wa punda iliyofanyika Mikadi Beach Resort
Bw. Livistone kutoka ASPA akikabidhiwa cheti Mkurugenzi  Msaidizi udhibiti wa magonjwa ya mlipuko Usafirishaji Mifugo na Mazao Dkt. Niwaeli cha mafunzo ya utunzaji wa punda iliyofanyika Mikadi Beach Resort

Bw. Rowenyo Mushi kutoka TVLA- Arusha  akikabidhiwa cheti  na Mkurugenzi  Msaidizi udhibiti wa magonjwa ya mlipuko Usafirishaji Mifugo na Mazao Dkt. Niwaeli cha mafunzo ya utunzaji wa punda iliyofanyika Mikadi Beach Resort
Bw. Matonye kutoka South Afrika akikabidhiwa cheti na Mkurugenzi  Msaidizi udhibiti ya magonjwa ya mlipuko Usafirishaji Mifugo na Mazao Dkt. Niwaeli cha mafunzo ya utunzaji wa punda iliyofanyika Mikadi Beach Resort

Bi. Lilian Mruma  Mwanafunzi kutoka Uganda akikabidhiwa cheti na Mkurugenzi  Msaidizi udhibiti wa magonjwa ya mlipuko Usafirishaji Mifugo na Mazao Dkt. Niwaeli cha mafunzo ya utunzaji wa punda iliyofanyika Mikadi Beach Resort
Mkurugenzi  Msaidizi udhibiti wa magonjwa ya mlipuko Usafirishaji Mifugo na Mazao Dkt. Niwaeli akitoa neno lake na shukurani kwa jitihada walizofanya wadau hao kwa kufanikisha mafunzo hayo na kuelimisha umma.
Dkt. Christine Bakuname Msaidizi wa dawati la Ustawi wa Wanyama akiwashukuru wadau waliofanikisha mafunzo hayo  wawe wanaendelea kuelimisha  jamii jinsi ya utunzaji mzuri wa wanyama



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni