Nav bar

Ijumaa, 3 Julai 2015

ZIARA YA WAZIRI WA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI DKT. TITUS KAMANI ILIYOFANYIKA WILAYANI KITETO MKOA WA MANYARA NA KILINDI - TANGA KWA MADHUMUNI YA KUKAGUA UJENZI WA MABWAWA YA MAJI

Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt. Titus Kamani akisaini kitabu cha wageni katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kiteto Mkoa wa Manyara
Mkurugenzi wa Ugavi na Ununuzi Bw.Gaston Lugali akifafanua jambo linalohusiana na ujenzi wa bwawa la Kiteto katika kijiji cha OLPOPONG
Bwawa la Maji katika Kijiji cha Olpopong lililochimbwa na Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
Wafugaji wa Kiteto wakisikiliza kwa makini hotuba inayotolewa na Mhe. Waziri (hayupo pichani)
Pembezoni mwa bwawa la Maji
Mkurugenzi wa Uzalishaji na Masoko Bi. Anuciata Njombe akisikiliza maelezo kutoka kwa Mhandisi wa Ujenzi wa bwawa (hayupo pichani)

Mhe. Waziri Dkt. Titus Kamani akisalimiana na wafugaji wa Wilaya ya Kiteto

Picha ya pamoja ya Mhe. Waziri Dkt. Titus Kamani kulia Mkuu wa Wilaya ya Kiteto Kanali Nzoka anaefata ni Mkurugenzi wa Ugavi na Ununuzi Bw. Gaston Lugali pamoja na Mkurugenzi wa Uzalishaji na Masoko Bi. Anuciata Njombe  Wakiwa pamoja na kamati ya ulinzi na usalama Wilayani Kiteto

Mandhari ya Wilaya ya Kilindi
Mhe Waziri Dkt. Titus Kamani akisalimiana na kamati ya Ulinzi na Usalama Wilayani Kilindi

Waziri akisaini kitabu cha wageni katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kilindi

Mhe Waziri Dkt. Titus Kamani akimsikiliza Mbunge wa Kilindi Mhe. Bi Beatrice Shelukindo wakati akiongea na wananchi wa kijiji cha Wialayani Kilindi

Mitambo ya uchimbaji wa bwawa la Kwamaligwa likiwa kazini
Eneo ambayo bwawa la Kamwaligwa litajengwa


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni