Nav bar

Jumatatu, 1 Juni 2015

UZINDUZI WA BARAZA LA WADAU WA TASNIA YA MAZIWA LA AWAMU YA NNE




Katikati ni Mkurugenzi wa Uzalishaji Mifugo na Masoko Bi. Anauncia Njombe akiwa na viongozi wa Baraza la Maziwa katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaa ya Babati.


Aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la maziwa Dr. Ruth Rioba akitoa neno la shukurani kwa Wajumbe wa Baraza hilo.

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la maziwa Dr. Ruth Rioba akimkabidhi zawadi Mwenyekiti wa sasa wa baraza hilo Dr. Ally Majani.


Mwenyekiti wa Baraza la maziwa Dr. Ally Majani akitoa neno la shukurani kwa wajumbe.

Mkurugenzi wa Uzalishaji Mifugo na Masoko Bi. Anauncia Njombe akitoa hutuba kwa Wajumbe wa Baraza la maziwa kwa niaba ya Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi.


Picha ya pamoja ya viongozi wa Baraza la maziwa na wajumbe wao, kutoka kulia ni mwenyekiti aliyemaliza muda wake Dr. Ruth Rioba, Dr. Ally Majani mwenyekiti wa baraza la maziwa, katikati ni Bi. Anuciata Njombe , Mkurugenzi wa uzalishaji Mifugo na Masoko, kushoto ni Dr. Archi Kitalyi, Mwenyekiti wa Bodi ya maziwa.

Afisa masoko Ester Shamazara kutoka kampuni ya Bajuti akitoa maelezo ya mashine ya kukamulia maziwa ya ng'ombe wawili kwa wakati mmoja.
Hii ni Mashine ya kutenganisha cream na maziwa



Ng'ombe chotara aina ya Ayrshire na Friensian akikamuliwa kitaalamu, anauwezo wa kutoa lita 25 kwa siku.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni