MHE. KAMANI AKUTANA NA MKUU WA MKOA WA MWANZA KUJADILI MAENDELEO SEKTA YA MIFUGO NA UVUVI

 Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Ng'wasi Damas Kamani leo Septemba 14, 2026 amewasili Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Mkoa huo, Mhe. CP. Salum Rashid Hamduni.

Mazungumzo ambayo yalijikita katika kuboresha Sekta za Mifugo na Uvuvi ili kuongeza tija katika shughuli za uzalishaji wa sekta hizo, hususan suala ya uwezeshaji wa mikopo kwa vijana kwenye sekta hizo pamoja na uwekezaji na udhibiti wa shughuli za uvuvi haramu.




Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

WATAALAMU WATAKIWA KUKUSANYA TAKWIMU SAHIHI ZA KITAFITI

TANZANIA DAIRY BOARD

LESENI, VIBALI VYA MAZAO YA MIFUGO NA VYAKULA VYA SAMAKI KUTOLEWA KWA NJIA YA KIELEKTRONIKI