WAZIRI NA NAIBU WAZIRI WA WIZARA YA KILIMO MIFUGO NA UVUVI WAKARIBISHWA WIZARANI TAREHE 16/12/2015

Waziri wa Kilimo Mifugo na Uvuvi Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba akikaribishwa Wizarani

Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo Mifugo na Uvuvi Mhe. William Tate OleNasha akikaribishwa Wizarani




Picha ya pamoja Watumishi wa Wizara ya Kilimo Mifugo na Uvuvi wakiwapongeza Waziri Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba na Naibu Waziri Mhe. William Tate OleNasha

Maoni

  1. hongera , karibuni sana kilimo mifugo/uvuvi

    JibuFuta
  2. wote tujipange vizuri kuwe na tija wakulima na wafugaji watatuona kwa ubora wa huduma tunayotoa

    JibuFuta

Chapisha Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

LESENI, VIBALI VYA MAZAO YA MIFUGO NA VYAKULA VYA SAMAKI KUTOLEWA KWA NJIA YA KIELEKTRONIKI

DKT. MHEDE AONGOZA ZOEZI LA UCHANJAJI WA MIFUGO MKOANI IRINGA, WAFUGAJI WAPONGEZA HATUA YA SERIKALI

SERIKALI KURASIMISHA BIASHARA YA MABONDO