ZIARA YA MHE NAIBU WAZIRI KATIKA MNADA WA PUGU TAREHE 21/12/2015
Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo Mifugo Uvuvi Mhe.William Tate Ole Nasha akisaini kitabu cha wageni alipotembelea Pugu Mnadani tarehe 21/12/2015 Mkurugenzi wa Uzalishaji Mifugo na Uendelezaji wa Masoko Bi. Anunciata Njombe akiongea na waandishi wa habari Pugu Mnadani katika Ziara ya Naibu Waziri Mhe.William Tate Ole Nasha Josho la kuogeshea ng'ombe ambalo limekaa kwa muda mrefu bila kutumika Pugu Mnadani Naibu Waziri Mhe.William Tate Ole Nasha akiongea na wafanya biashara wa Pugu Mnadani Naibu Waziri Mhe.William Tate Ole Nasha akisaini kitabu cha wageni katika Mnada wa Mbuzi huko Pugu Naibu Waziri Mhe.William Tate Ole Nasha akitembelea Mnada wa Mbuzi Naibu Waziri Mhe.William Tate Ole Nasha akiangalia mipaka na maeneo yaliyouzwa Mmoja wa kibarua akimuonesha Naibu Waziri Mhe.William Tate Ole Nasha maeneo mengine yaliyochukuliwa na kujengwa na Wananchi Pugu ...