NAIBU WAZIRI WA WIZARA YA KILIMO MIFUGO NA UVUVI AKARIBISHWA KATIKA OFISI YAKE ILIYOPO MVUVI HOUSE

Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo Mifugo na Uvuvi Mhe. William Tate Ole Nasha akiwa Ofisini kwake Jengo la Mvuvi House

Katibu Mkuu Dkt. Yohana Budeba akimkaribisha Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo Mifugo na Uvuvi Mhe. William Tate Ole Nasha (hayupo pichani) Nyuma ya KM ni Afisa Mawasiliano Bw Richard Kasuga



Naibu Waziri wa Kilimo Mifugo na Uvuvi akipata Utambulisho kutoka kwa Afisa Mawasiliano Bw Richard Kasuga ya Watumishi aliofatana nao (hawapo pichani)


Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

LESENI, VIBALI VYA MAZAO YA MIFUGO NA VYAKULA VYA SAMAKI KUTOLEWA KWA NJIA YA KIELEKTRONIKI

DKT. MHEDE AONGOZA ZOEZI LA UCHANJAJI WA MIFUGO MKOANI IRINGA, WAFUGAJI WAPONGEZA HATUA YA SERIKALI

SERIKALI KURASIMISHA BIASHARA YA MABONDO