Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Mafunzo ya Mifugo (LITA) Dkt. Pius Mwambene (katikati) akiongea na wafugaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza (hawapo pichani) wakati wa ufunguzi wa Mafunzo ya ufugaji bora wa ng'ombe wa maziwa, chini ya mradi wa maziwa faida, yaliofanyika LITA kampasi ya Buhuri Mkoani Tanga, Septemba 29,2023

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

LESENI, VIBALI VYA MAZAO YA MIFUGO NA VYAKULA VYA SAMAKI KUTOLEWA KWA NJIA YA KIELEKTRONIKI

DKT. MHEDE AONGOZA ZOEZI LA UCHANJAJI WA MIFUGO MKOANI IRINGA, WAFUGAJI WAPONGEZA HATUA YA SERIKALI

SERIKALI KURASIMISHA BIASHARA YA MABONDO