KIKAO KAZI

 

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega(kulia) akiongea na Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Alexander Mnyeti katika kikao kazi kilichofanyika ofisini kwake jijini Dodoma mapema leo Septemba 26, 2023. Katika kikao hicho, pamoja na mambo mengine walijadiliana kuhusu dira na muelekeo wa utekelezaji wa majukumu na shughuli mbalimbali za kila siku za Wizara katika kuwahudumia wananchi na kutimiza maono ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega (katikati) akimueleza jambo Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Alexander Mnyeti katika kikao kazi kilichofanyika ofisini kwake jijini Dodoma mapema leo Septemba 26, 2023. Katika kikao hicho pamoja na mambo mengine walijadiliana kuhusu dira na muelekeo wa utekelezaji wa majukumu na shughuli mbalimbali za kila siku za Wizara katika kuwahudumia wananchi na kutimiza maono ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.


Wengine katika picha kutoka kulia ni Naibu Katibu Mkuu (Mifugo), Dkt. Daniel Mushi na wa pili kutoka kulia ni Naibu Katibu Mkuu (Uvuvi), Bi. Agnes Meena.


Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega (kulia) akimuonesha jambo Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Alexander Mnyeti wakati wa kikao kazi kilichofanyika ofisini kwake jijini Dodoma mapema leo Septemba 26, 2023.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

LESENI, VIBALI VYA MAZAO YA MIFUGO NA VYAKULA VYA SAMAKI KUTOLEWA KWA NJIA YA KIELEKTRONIKI

DKT. MHEDE AONGOZA ZOEZI LA UCHANJAJI WA MIFUGO MKOANI IRINGA, WAFUGAJI WAPONGEZA HATUA YA SERIKALI

SERIKALI KURASIMISHA BIASHARA YA MABONDO