PROF. SHEMDOE AONGOZA KIKAO KAZI CHA KUPITIA UTEKELEZAJI WA BAJETI YA MWAKA 2022/2023

 

Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Prof. Riziki Shemdoe akitoa maelekezo wakati Kikao kazi cha kupitia utekelezaji wa bajeti ya mwaka 2022/2023 kilichofanyika mkoani Morogoro kwenye ukumbi wa Hoteli ya Morena. (15.07.2023)

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo), Dkt. Daniel Mushi (wa pili kutoka kushoto) akizungumza wakati Kikao kazi cha kupitia utekelezaji wa bajeti ya mwaka 2022/2023 kilichofanyika mkoani Morogoro kwenye ukumbi wa Hoteli ya Morena. (15.07.2023)

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Uvuvi), Bi. Agnes Meena (wa kwanza kulia) akizungumza wakati Kikao kazi cha kupitia utekelezaji wa bajeti ya mwaka 2022/2023 kilichofanyika mkoani Morogoro kwenye ukumbi wa Hoteli ya Morena. (15.07.2023)


Wakuu wa Idara na Vitengo wakiongozwa na Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi na Manaibu Makatibu Wakuu wakifuatilia wasilisho la utekelezaji wa bajeti lililowasilishwa na Bi. Danietta Tindamanyire. Kikao kimefanyika mkoani Morogoro kwenye ukumbi wa Hoteli ya Morena. (15.07.2023)

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

LESENI, VIBALI VYA MAZAO YA MIFUGO NA VYAKULA VYA SAMAKI KUTOLEWA KWA NJIA YA KIELEKTRONIKI

DKT. MHEDE AONGOZA ZOEZI LA UCHANJAJI WA MIFUGO MKOANI IRINGA, WAFUGAJI WAPONGEZA HATUA YA SERIKALI

SERIKALI KURASIMISHA BIASHARA YA MABONDO