Nav bar

Ijumaa, 21 Julai 2023

PROF. SHEMDOE AFUNGUA KIKAO KAZI CHA KUPITIA RASIMU YA ANDIKO LA MRADI WA UWEKEZAJI ENDELEVU KATIKA SEKTA YA MIFUGO

 

Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Prof. Riziki Shemdoe akichangia mada baada ya wasilisho kutoka kwa wawakilishi kutoka Benki ya Dunia wakati wa Kikao kazi cha kupitia rasimu ya andiko la mradi wa uwekezaji endelevu katika Sekta ya Mifugo nchini Tanzania kutoka Benki ya Dunia kinachofanyika mkoani Mrorogoro kwenye ukumbi wa Hoteli ya Morena. (14-15.07.2023)


Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo), Dkt. Daniel Mushi, akiuliza swali wakati wa Kikao kazi cha kupitia rasimu ya andiko la mradi wa uwekezaji endelevu katika Sekta ya Mifugo nchini Tanzania kutoka Benki ya Dunia kinachofanyika mkoani Mrorogoro kwenye ukumbi wa Hoteli ya Morena. (14-15.07.2023)


Afisa Mwandamizi wa Uchumi wa Kilimo kutoka Benki ya Dunia, Bi. Emma Isinika akiwasilisha mada wakati wa Kikao kazi cha kupitia rasimu ya andiko la mradi wa uwekezaji endelevu katika sekta ya mifugo nchini Tanzania kutoka Benki ya Dunia kinachofanyika mkoani Mrorogoro kwenye ukumbi wa Hoteli ya Morena. (14-15.07.2023)


Mshauri Mwelekezi wa Benki ya Dunia Tanzania kwenye masuala ya Kilimo na Chakula, Bi. Mary Shettu akifafanua jambo wakati wa Kikao kazi cha kupitia rasimu ya andiko la mradi wa uwekezaji endelevu katika Sekta ya Mifugo nchini Tanzania kutoka Benki ya Dunia kinachofanyika mkoani Mrorogoro kwenye ukumbi wa Hoteli ya Morena. (14-15.07.2023)

Baadhi ya Wakuu wa Idara na Vitengo kutoka Sekta ya Mifugo wakifuatilia Mada zilizokuwa zikiwasilishwa wakati wa Kikao kazi cha kupitia rasimu ya andiko la mradi wa uwekezaji endelevu katika Sekta ya Mifugo nchini Tanzania kutoka Benki ya Dunia kinachofanyika mkoani Mrorogoro kwenye ukumbi wa Hoteli ya Morena. (14-15.07.2023)




Hakuna maoni:

Chapisha Maoni