Nav bar

Jumatano, 31 Mei 2023

KIKAO CHA MAPITIO YA RASIMU YA MTAALA WA AFYA YA WANYAMA NA UZALISHAJI CHAFANYIKA MKOANI DODOMA

 

Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Utafiti, Mafunzo na Ugani (Ugani) kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi Bw. Samwel Mdachi, akifungua kikao cha mapitio ya rasimu ya mtaala wa afya ya wanyama na uzalishaji ili kuingiza masuala ya sumu kuvu kilichofanyika jijini Dodoma kikiwashirikisha washiriki kutoka idara za wizara hiyo sekta ya mifugo pamoja na taasisi zilizo chini ya wizara. (25.05.2023)

Mkurugenzi wa Idara ya Uendelezaji wa Nyanda za Malisho na Rasilimali za Vyakula vya Mifugo kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi Dkt. Asimwe Rweguza akifafanua jambo juu ya rasimu ya mtaala wa afya ya wanyama na uzalishaji pamoja na umuhimu wa malisho ya mifugo wakati wa kikao cha mapitio ya rasimu ya mtaala wa afya ya wanyama na uzalishaji ili kuingiza masuala ya sumu kuvu kilichofanyika jijini Dodoma kikiwashirikisha washiriki kutoka idara za wizara hiyo sekta ya mifugo pamoja na taasisi zilizo chini ya wizara. (25.05.2023)

Afisa Mifugo Msaidizi Mkuu kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi Bw. Sebastian Shilangalila akizungumza wakati wa maandalizi na kupitia mada mbalimbali wakati wa kuanza kwa kikao cha mapitio ya rasimu ya mtaala wa afya ya wanyama na uzalishaji ili kuingiza masuala ya sumu kuvu kilichofanyika jijini Dodoma kikiwashirikisha washiriki kutoka idara za wizara hiyo sekta ya mifugo pamoja na taasisi zilizo chini ya wizara. (25.05.2023)

Picha ya pamoja ya washiriki wa kikao cha mapitio ya rasimu ya mtaala wa afya ya wanyama na uzalishaji ili kuingiza masuala ya sumu kuvu kilichofanyika jijini Dodoma kikiwashirikisha washiriki kutoka idara za wizara hiyo sekta ya mifugo pamoja na taasisi zilizo chini ya wizara. (25.05.2023)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni