WADAU WAKUTANA KUJADILI UTAFITI KUONGEZA THAMANI SAMAKI AINA YA DAGAA.

 

Katibu Tawala mkoa wa Mwanza Bw. Balandya Elikana akisoma hotuba wakati wa ufunguzi wa warsha ya kupokea, kujadili na kupitisha taarifa ya matokeo ya utafiti wa upotevu wa mazao ya uvuvi Nchini, April 19,2023 Mkoani Mwanza


Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Uvuvi Tanzania Bi. Flora Luhanga akiongea na wadau wa uvuvi  (hawapo pichani) kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi kwa ufunguzi wa warsha ya kupokea, kujadili na kupitisha taarifa ya matokeo ya utafiti wa upotevu wa mazao ya uvuvi Nchini Aprili 19, 2023 Mkoani Mwanza.


Mwenyekiti wa bodi ya Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi Tanzania (TAFIRI) na mshauri mwelekezi wa Shirika la Chakula na Kilimo Duniani (FAO), Bw. Yahya Mgawe (katikati) akitoa maelezo ya dagaa waliochakatwa na kufungashwa na wavuvi wadowadogo  kwa Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Bw. Balandya Elikana (wa pili kutoka kushoto) mara baada ya warsha ya kupokea, kujadili na kupitisha taarifa ya matokeo ya  utafiti wa upotevu wa mazao ya uvuvi Nchini, April 19, 2023 Mkoani Mwanza.


Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Bw. Balandya Elikana (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na timu ya waliofanya utafiti wa upotevu wa mazao ya uvuvi nchini Tanzania Mara baada ya ufunguzi wa washra ya kupokea, kujadili na kupitisha taarifa ya matokeo ya utafiti wa upotevu wa mazao ya uvuvi Nchini,  Aprili 19,2023 Mkoani Mwanza.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

LESENI, VIBALI VYA MAZAO YA MIFUGO NA VYAKULA VYA SAMAKI KUTOLEWA KWA NJIA YA KIELEKTRONIKI

DKT. MHEDE AONGOZA ZOEZI LA UCHANJAJI WA MIFUGO MKOANI IRINGA, WAFUGAJI WAPONGEZA HATUA YA SERIKALI

SERIKALI KURASIMISHA BIASHARA YA MABONDO