Nav bar

Ijumaa, 28 Aprili 2023

KIKAO KIFUPI CHA KUPOKEA WASILISHO LA MKAKATI WA UFUATILIAJI WA KIELEKTRONIKI WA ZAO LA PWEZA CHAFANYIKA WILAYANI YA KILWA, MKOA WA LINDI

 

Kaimu Mkurugenzi  Msaidizi wa Udhibiti Ubora na Masoko kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Bw. Melkizedeck Koddy akiongea na watendaji kutoka Sekta ya Uvuvi na wawakilishi kutoka kwenye mradi wa Aqua - Farms  wakati wa kikao kifupi cha kupokea  wasilisho la mkakati wa ufuatiliaji wa kielektroniki wa zao la Pweza katika Wilaya ya Kilwa Mkoani Lindi kilichofanyika kwenye ukumbi wa Wizara hiyo Mtumba jijini Dodoma. Aprili 25, 2023


Mtafiti kutoka kwenye Mradi wa Aqua-farm , Bw. Cretus Philipo  akiwasilisha mkakati wa ufuatiliaji wa kielektroniki wa zao la Pweza, uliofanyika  Wilayani  Kilwa Mkoani Lindi, wakati wa kikao kifupi kilichofanyika kwenye ukumbi wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Mtumba jijini Dodoma,  Aprili 25,2023.


Sehemu ya washiriki wakifuatilia kwa makini  wasilisho la mkakati wa ufuatiliaji wa kielektroniki wa zao la Pweza lililofanyika kwenye Wilaya ya Kilwa Mkoani Lindi wakati wa kikao kifupi   kilichofanyika kwenye ukumbi wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Mtumba jijini Dodoma, Aprili 25, 2023


Kaimu Mkurugenzi Msaidizi wa Udhibiti Ubora na Masoko  Bw. Melkizedeck Koddy (wa pili kutoka kulia) akiwa kwenye picha ya pamoja na watendaji kutoka Sekta ya Uvuvi na wawakilishi kutoka kwenye mradi wa Aqua-farm, mara baada ya kikao kifupi cha kuwasilisha mkakati wa ufuatiliaji wa kielektroniki wa zao la Pweza  katika Wilaya ya Kilwa Mkoani Lindi, kilichofanyika kwenye ukumbi wa  Wizara hiyo mtumba jijini Dodoma, April 25,2023.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni