Nav bar

Jumanne, 21 Februari 2023

BI. MWANGISA AFUNGA KIKAO CHA UZINDUZI WA MATAWI YA WANAWAKE WANAOJIHUSISHA NA SHUGHULI ZA UVUVI TANZANIA

 

Mkurugenzi msaidizi wa utawala na rasilimali watu Sekta ya uvuvi, Bi. Marry Mwangisa akitoa neno wakati wa kufunga kikao cha uzinduzi wa matawi ya wanawake wanaojihusisha na shughuli za uvuvi Tanzania (TAWFA) Kanda ya ziwa Nyasa na maji madogo kwa wanawake hao (hawapo pichani) na kuwahasa kushikamana na kuunda vikundi vitakavyowasaidia kujikwamua kiuchumi Mkoani Iringa Februari 16,2023

Mratibu wa mwongozo wa  Mradi wa kuendeleza Uvuvi mdogo Bi. Lilian Ibengwe akiwapongeza wanawake kwa ushiriki wao (hawapo pichani) na kuwasihi kuzingatia yale yote waliyoelimishwa  wakati wa  kikao cha kufunga  uzinduzi wa matawi ya TAWFA Kanda ya Ziwa Nyasa na maji madogo kilichofanyika kwenye ukumbi wa royal palm Mkoani Iringa, Februari 16,2023

Viongizi wa wanawake wanaojihusisha na shughuli za uvuvi Tanzania (TAWFA) Kanda ya ziwa Nyasa (picha ya juu) na viongizi wa maji madogo (picha ya chini) wakiwa kwenye picha ya pamoja na wajumbe wa NTT pamoja na watendaji kutoka Sekta uvuvi mara baada ya uchaguzi wa viongizi hao uliofanyika kwenye ukumbi wa royal palm Mkoani Iringa Februari 16,2023

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni