Nav bar

Jumatano, 25 Januari 2023

WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI YAWASILISHA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO ILIYOGHARAMIWA KWA FEDHA ZA MKOPO KUTOKA SHIRIKA LA FEDHA LA KIMATAIFA (IMF) KUPITIA DIRISHA LA EXTENDED CREDIT FACILITY (ECF) KWA KIPINDI CHA NUSU MWAKA KUANZIA JULAI HADI DISEMBA 2022 KWENYE KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA BAJETI

 

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega akizungumza na Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti wakati Wizara ilipowasilisha taarifa ya Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo iliyogharamiwa kwa fedha za Mkopo kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) kupitia dirisha la Extended Credit Facility (ECF) kwa kipindi cha Nusu Mwaka kuanzia Julai hadi Disemba 2022. (23.01.2023)


Katibu Mkuu Waziri wa Mifugo na Uvuvi (Mifugo), Bw. Tixon Nzunda (wa pili kutoka kushoto) akitoa ufafanuzi wa baadhi ya hoja zilizoulizwa na Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti wakati Wizara ilipowasilisha taarifa ya Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo iliyogharamiwa kwa fedha za Mkopo kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) kupitia dirisha la Extended Credit Facility (ECF) kwa kipindi cha Nusu Mwaka kuanzia Julai hadi Disemba 2022. (23.01.2023)


Katibu Mkuu Waziri wa Mifugo na Uvuvi (Uvuvi), Dkt. Rashid Tamatamah (kushoto) akijibu baadhi ya maswali yaliyoulizwa na Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti wakati Wizara ilipowasilisha taarifa ya Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo iliyogharamiwa kwa fedha za Mkopo kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) kupitia dirisha la Extended Credit Facility (ECF) kwa kipindi cha Nusu Mwaka kuanzia Julai hadi Disemba 2022. (23.01.2023)


Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti na Viongozi kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi wakifuatilia wasilisho la taarifa ya Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo iliyogharamiwa kwa fedha za Mkopo kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) kupitia dirisha la Extended Credit Facility (ECF) kwa kipindi cha Nusu Mwaka kuanzia Julai hadi Disemba 2022. (23.01.2023)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni