Mkurugenzi wa huduma za Mifugo nchini Prof. Hezron Nonga akifafanua jambo wakati wa kikao cha wadau mbalimbali wa sekta ya Mifugo waliokutana leo (24.01.2023)  kwenye ukumbi wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi uliopo eneo la Mtumba jijini Dodoma ili kujadili rasimu ya Mwongozo ulioboreshwa wa Utambuzi wa Mifugo.


Sehemu ya wadau wa sekta ya Mifugo wakipitia rasimu ya Mwongozo ulioboreshwa wa utambuzi wa Mifugo wakati wa kikao cha kujadili rasimu hiyo kilichofanyika leo (24.01.2023) kwenye Ukumbi wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi uliopo eneo la Mtumba jijini Dodoma.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

LESENI, VIBALI VYA MAZAO YA MIFUGO NA VYAKULA VYA SAMAKI KUTOLEWA KWA NJIA YA KIELEKTRONIKI

DKT. MHEDE AONGOZA ZOEZI LA UCHANJAJI WA MIFUGO MKOANI IRINGA, WAFUGAJI WAPONGEZA HATUA YA SERIKALI

SERIKALI KURASIMISHA BIASHARA YA MABONDO