Nav bar

Ijumaa, 23 Desemba 2022

SEMINA KUHUSU MASUALA YA SUMUKUVU YAFANYIKA KWA WAKUU WA IDARA NA VITENGO WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI (SEKTA YA MIFUGO)

 

Mkurugenzi wa Idara ya Utafiti, Mafunzo na Huduma za Ugani, Dkt. Angello Mwillawa akiongea na wajumbe (hawapo pichani) wa semina ya wakuu wa Idara wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi masuala yanayohusu  sumukuvu, wakati alipokuwa akifunga semina hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa African Dream, Dodoma 22.12.2022.

Muwasilisha Mada, Dkt. Jamal Kusaga akiwasilisha mada kuhusu hali ya sasa ya sumukuvu nchini, kwenye semina ya kuwapatia wakuu wa Idara wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi masuala yanayohusu sumukuvu, semina hiyo imefanyika katika ukumbi wa African Dream, Dodoma. 22.12.2022.

Mkufunzi wa chuo cha Kilimo (MATI) cha Ilonga, Ms. Mariam Joseph akiwasilisha mada inayohusu "Njia iliyopendekezwa  ya kuzingatia jinsia wakati wa kudhibiti sumukuvu kwenye Semina ya kuwapitisha wakuu wa Idara masuala yanayohusu Sumukuvu, Semina hiyo imefanyika katika ukumbi wa African Dream, Dodoma. 22.12.2022.

Afisa TEHAMA kutoka sekta ya Mifugo, Bi Priscilla Joseph (aliyesimama) akichangia mada kwenye semina ya wakuu wa Idara wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi masuala yanayohusu Sumukuvu  iliyofanyika katika ukumbi wa African Dream, Dodoma. 22.12.2022.

Sehemu ya wajumbe waliohudhuria semina ya kuwapatia wakuu wa Idara wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi masuala yanayohusu sumukuvu, semina hiyo imefanyika katika ukumbi wa African Dream, Dodoma. 22.12.2022.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni