Nav bar

Ijumaa, 23 Desemba 2022

MAFUNZO REJEA KWA WATAALAM WA MIFUGO


 Afisa Mifugo Mtafiti Mkuu kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi Bi. Felister Kimario akizungumzia juu ya uboreshaji wa kosaafu za mbari za mifugo na umuhimu wake katika kukuza sekta ya mifugo wakati wa siku ya pili ya mafunzo rejea ya siku mbili yaliyokuwa yakifanyika katika Mji wa Hai Mkoani Kilimanjaro yakihusisha baadhi ya maafisa ugani kutoka Kanda ya Kaskazini inayohusisha mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Tanga na Manyara. (20.12.2022)



Mkuu wa Idara ya Mifugo na Uvuvi katika Halmashauri ya Mji wa Handeni Mkoani Tanga Bw. Zakaria Swai akifafanua juu ya muhtasari ya yaliyojadiliwa katika siku ya kwanza ya mafunzo rejea ya siku mbili yaliyokuwa yakifanyika katika Mji wa Hai Mkoani Kilimanjaro yakihusisha baadhi ya maafisa ugani kutoka Kanda ya Kaskazini inayohusisha mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Tanga na Manyara. (20.12.2022)


Afisa Mifugo Daraja la Pili kutoka Kituo cha Taifa cha Uhimilishaji (NAIC) kilichopo Mkoani Arusha Bw. Samwel Kakungu akielezea umuhimu na hatua mbalimbali zinazofuatwa za uhimilishaji na umuhimu wa njia hiyo kwa wafugaji katika kupata mbegu bora za mifugo yao wakati wa siku ya pili ya mafunzo rejea ya siku mbili yaliyokuwa yakifanyika katika Mji wa Hai Mkoani Kilimanjaro yakihusisha baadhi ya maafisa ugani kutoka Kanda ya Kaskazini inayohusisha mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Tanga na Manyara. (20.12.2022)


Afisa Mifugo Msaidizi Mkuu kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi Bw. Sebastian Shilangila akiwafahamisha maafisa ugani juu ya matumizi ya ugani kiganjani kwa kutumia simu janja pamoja na kompyuta wakati wa siku ya pili ya mafunzo rejea ya siku mbili yaliyokuwa yakifanyika katika Mji wa Hai Mkoani Kilimanjaro yakihusisha baadhi ya maafisa ugani kutoka Kanda ya Kaskazini inayohusisha mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Tanga na Manyara. (20.12.2022)


Afisa Utafiti Mifugo kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi Bi. Grace Masolwa akifafanua juu ya matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika ugani kwa kutumia mfumo wa M-Kilimo wakati wa siku ya pili ya mafunzo rejea ya siku mbili yaliyokuwa yakifanyika katika Mji wa Hai Mkoani Kilimanjaro yakihusisha baadhi ya maafisa ugani kutoka Kanda ya Kaskazini inayohusisha mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Tanga na Manyara. (20.12.2022)

Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Utafiti, Mafunzo na Ugani (Ugani) kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi Bw. Samwel Mdachi akiwaelekeza baadhi ya maafisa ugani namna ya kutumia Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika mfumo wa M-Kilimo na ugani kiganjani kwa kutumia simu janja, wakati wa siku ya pili ya mafunzo rejea ya siku mbili yaliyokuwa yakifanyika katika Mji wa Hai Mkoani Kilimanjaro yakihusisha baadhi ya maafisa ugani kutoka Kanda ya Kaskazini inayohusisha mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Tanga na Manyara. (20.12.2022)

Baadhi ya maafisa ugani kutoka Kanda ya Kaskazini inayohusisha mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Tanga na Manyara wakiwa kwenye mafunzo rejea ya siku mbili yaliyofanyika katika Mji wa Hai Mkoani Kilimanjaro ambapo mada mbalimbali ziliwasilishwa kwao na maafisa kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi ambayo imeandaa mafunzo hayo ili kuwakumbusha maafisa ugani majukumu yao na namna ya kuwahudumia wafugaji. (20.12.2022)


Afisa Mfawidhi Kanda ya Kaskazini Dkt. Raphael Mwampashi akifafanua juu ya udhibiti wa magonjwa ya mifugo kwa maafisa ugani wakati wa mafunzo rejea ya siku mbili yaliyokuwa yakifanyika katika Mji wa Hai Mkoani Kilimanjaro yakihusisha baadhi ya maafisa ugani kutoka Kanda ya Kaskazini inayohusisha mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Tanga na Manyara. (20.12.2022)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni