Nav bar

Ijumaa, 25 Novemba 2022

 


Mtaalam Mwandamizi wa Uvuvi na Ukuzaji Viumbe Maji kutoka Mfuko wa kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD) Bw. Richard Abila (kulia) akimpa Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Mashimba Ndaki (katikati) tathmini fupi ya yale waliyoyaona kwenye utekelezaji wa awali wa Mradi wa Maendeleo ya Kilimo na Uvuvi (AFDP) hapa nchini tukio lililofanyika mapema leo (24.11.2022) kwenye Ofisi za Wizara hiyo zilizopo eneo la Mtumba jijini Dodoma. Kushoto ni Mwakilishi wa Katibu Mkuu anayeshughulikia Sekta ya Uvuvi Bw.Stephen Lukanga.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni