Mtaalam Mwandamizi wa Uvuvi na Ukuzaji Viumbe Maji kutoka Mfuko wa kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD) Bw. Richard Abila (kulia) akimpa Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Mashimba Ndaki (katikati) tathmini fupi ya yale waliyoyaona kwenye utekelezaji wa awali wa Mradi wa Maendeleo ya Kilimo na Uvuvi (AFDP) hapa nchini tukio lililofanyika mapema leo (24.11.2022) kwenye Ofisi za Wizara hiyo zilizopo eneo la Mtumba jijini Dodoma. Kushoto ni Mwakilishi wa Katibu Mkuu anayeshughulikia Sekta ya Uvuvi Bw.Stephen Lukanga.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

LESENI, VIBALI VYA MAZAO YA MIFUGO NA VYAKULA VYA SAMAKI KUTOLEWA KWA NJIA YA KIELEKTRONIKI

DKT. MHEDE AONGOZA ZOEZI LA UCHANJAJI WA MIFUGO MKOANI IRINGA, WAFUGAJI WAPONGEZA HATUA YA SERIKALI

SERIKALI KURASIMISHA BIASHARA YA MABONDO