Nav bar

Jumapili, 23 Oktoba 2022

WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI YAWASILISHA TAARIFA YA UTENDAJI KAZI WA TAASISI YA UTAFITI WA MIFUGO TANZANIA (TALIRI)

 


Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji, Mhe. Dkt. Christine Ishengoma akifunga kikao cha kamati hiyo mara baada ya kupokea Taarifa ya Utendaji wa Taasisi ya Utafiti wa Mifugo Tanzania (TALIRI) kwenye kikao kilichofanyika bungeni Jijini Dodoma. (18.10.2022)


Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega akijibu baadhi ya hoja za Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji mara baada ya kuwasilishwa kwa Taarifa ya Utendaji wa Taasisi ya Utafiti wa Mifugo Tanzania (TALIRI) kwenye kikao kilichofanyika bungeni Jijini Dodoma. (18.10.2022)


Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo), Dkt. Charles Mhina (aliyesimama) akiwasalimu Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji kabla ya kuwasilishwa kwa Taarifa ya Utendaji wa Taasisi ya Utafiti wa Mifugo Tanzania (TALIRI) kwenye Kamati hiyo bungeni Jijini Dodoma. (18.10.2022)


Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Mifugo Tanzania (TALIRI), Prof. Erick Komba (kulia) akiwasilisha Taarifa ya Utendaji wa Taasisi hiyo kwenye Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji bungeni Jijini Dodoma. (18.10.2022)


Viongozi na Wataalam kutoka Sekta ya Mifugo wakifuatilia wasilisho la Taarifa ya Utendaji wa Taasisi ya Utafiti wa Mifugo Tanzania (TALIRI) kwenye Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji bungeni Jijini Dodoma. (18.10.2022)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni