Nav bar

Jumapili, 23 Oktoba 2022

WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI YASHIRIKI VIKAO VYA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA KILIMO, MIFUGO NA MAJI

 


Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Mashimba Ndaki akitoa ufafanuzi wa baadhi ya hoja zilizoibuliwa na wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji wakati wa kikao cha uwasilishwaji wa taarifa ya utendaji wa Mamlaka ya Kusimamia Uvuvi wa Bahari Kuu (DSFA) kwa Kamati hiyo kilichofanyika Bungeni jijini Dodoma Oktoba 20, 2022.


Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji, Dkt.Christine Ishengoma akiongea na Viongozi wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi pamoja na wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji wakati wa kikao cha uwasilishwaji wa taarifa ya utendaji wa Mamlaka ya Kusimamia Uvuvi wa Bahari Kuu (DSFA) kilichofanyika Bungeni jijini Dodoma Oktoba 20, 2022.


Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega akifafanua jambo wakati wa kikao cha uwasilishwaji wa taarifa ya utendaji wa Mamlaka ya Kusimamia Uvuvi wa Bahari Kuu (DSFA) kilichofanyika Bungeni jijini Dodoma Oktoba 20, 2022.


Mkurugenzi Mkuu, Mamlaka ya Kusimamia Uvuvi wa Bahari Kuu (DSFA), Dkt. Emmanuel Sweke akiwasilisha taarifa ya utendaji wa mamlaka hiyo ikiwemo mwenendo wa utoaji wa leseni za uvuvi na ukusanyaji wa mapato ya Serikali kwenye kikao cha Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji kilichofanyika Bungeni jijini Dodoma Oktoba 20, 2022.


Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega akifafanua jambo wakati wa kikao cha uwasilishwaji wa taarifa ya utendaji wa Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi (TAFIRI) kilichofanyika Bungeni jijini Dodoma Oktoba 21, 2022.


Sehemu ya Wataalamu  na Viongozi kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi wakifuatilia wasilisho la utendaji kazi wa Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi (TAFIRI) kwa Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji katika kikao kilichofanyika Bungeni jijini Dodoma Oktoba 21, 2022.


Katibu Mkuu, Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Uvuvi), Dkt. Rashid Tamatamah akieleza jambo wakati wa kikao cha uwasilishwaji wa taarifa ya utendaji wa Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi (TAFIRI) kwa Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji kilichofanyika Bungeni jijini Dodoma Oktoba 21, 2022.


Mkurugenzi Mkuu, Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi(TAFIRI), Dkt. Ismael Kimirei akiwasilisha taarifa ya utendaji kazi wa taasisi hiyo kwenye kikao cha Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji kilichofanyika Bungeni jijini Dodoma Oktoba 21, 2022.


Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji, Dkt.Christine Ishengoma akiongea na Viongozi wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi pamoja na wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji wakati akifungua  kikao cha uwasilishwaji wa taarifa ya utendaji wa Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi (TAFIRI) kilichofanyika Bungeni jijini Dodoma Oktoba 21, 2022.


Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega akieleza jambo mbele ya Kamati ya Bajeti ya Bunge kuhusu Taarifa ya utekelezaji wa bajeti ya Maendeleo ya Mwaka 2022/23 kwa kipindi cha Julai 1- Septemba 30, 2022 kilichofanyika Bungeni jijini Dodoma Oktoba 22, 2022.


Sehemu ya Wataalamu  na Viongozi kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi wakichukua maelezo wakati wa kikao cha Kamati ya Bajeti ya Bunge kuhusu Taarifa ya utekelezaji wa bajeti ya Maendeleo ya Mwaka 2022/23 kwa kipindi cha Julai 1- Septemba 30, 2022 kilichofanyika Bungeni jijini Dodoma Oktoba 22, 2022.


Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega akifafanua jambo wakati wa kikao cha uwasilishwaji wa taarifa ya utendaji wa Mamlaka ya Kusimamia Uvuvi wa Bahari Kuu (DSFA) kilichofanyika Bungeni jijini Dodoma Oktoba 20, 2022.


Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji, Dkt.Christine Ishengoma akiongea na Viongozi wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi pamoja na wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji wakati wa kikao cha uwasilishwaji wa taarifa ya utendaji wa Mamlaka ya Kusimamia Uvuvi wa Bahari Kuu (DSFA) kilichofanyika Bungeni jijini Dodoma Oktoba 20, 2022.


Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Mashimba Ndaki akitoa ufafanuzi wa baadhi ya hoja zilizoibuliwa na wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji wakati wa kikao cha uwasilishwaji wa taarifa ya utendaji wa Mamlaka ya Kusimamia Uvuvi wa Bahari Kuu (DSFA) kwa Kamati hiyo kilichofanyika Bungeni jijini Dodoma Oktoba 20, 2022.


Mkurugenzi Mkuu, Mamlaka ya Kusimamia Uvuvi wa Bahari Kuu(DSFA), Dkt. Emmanuel Sweke akiwasilisha taarifa ya utendaji wa mamlaka hiyo ikiwemo mwenendo wa utoaji wa leseni za uvuvi na ukusanyaji wa mapato ya Serikali kwenye kikao cha Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji kilichofanyika Bungeni jijini Dodoma Oktoba 20, 2022.


Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega akifafanua jambo wakati wa kikao cha uwasilishwaji wa taarifa ya utendaji wa Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi (TAFIRI) kilichofanyika Bungeni jijini Dodoma Oktoba 21, 2022.


Sehemu ya Wataalamu  na Viongozi kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi wakifuatilia wasilisho la utendaji kazi wa Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi (TAFIRI) kwa Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji katika kikao kilichofanyika Bungeni jijini Dodoma Oktoba 21, 2022.


Katibu Mkuu, Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Uvuvi), Dkt. Rashid Tamatamah akieleza jambo wakati wa kikao cha uwasilishwaji wa taarifa ya utendaji wa Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi (TAFIRI) kwa Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji kilichofanyika Bungeni jijini Dodoma Oktoba 21, 2022.


Mkurugenzi Mkuu, Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi(TAFIRI), Dkt. Ismael Kimirei akiwasilisha taarifa ya utendaji kazi wa taasisi hiyo kwenye kikao cha Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji kilichofanyika Bungeni jijini Dodoma Oktoba 21, 2022.


Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji, Dkt.Christine Ishengoma akiongea na Viongozi wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi pamoja na wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji wakati akifungua  kikao cha uwasilishwaji wa taarifa ya utendaji wa Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi (TAFIRI) kilichofanyika Bungeni jijini Dodoma Oktoba 21, 2022.


Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega akieleza jambo mbele ya Kamati ya Bajeti ya Bunge kuhusu Taarifa ya utekelezaji wa bajeti ya Maendeleo ya Mwaka 2022/23 kwa kipindi cha Julai 1- Septemba 30, 2022 kilichofanyika Bungeni jijini Dodoma Oktoba 22, 2022.


Sehemu ya Wataalamu  na Viongozi kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi wakichukua maelezo wakati wa kikao cha Kamati ya Bajeti ya Bunge kuhusu Taarifa ya utekelezaji wa bajeti ya Maendeleo ya Mwaka 2022/23 kwa kipindi cha Julai 1- Septemba 30, 2022 kilichofanyika Bungeni jijini Dodoma Oktoba 22, 2022.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni