DKT. BITANYI AZUNGUNZIA MAJUKUMU YA WAKALA YA MAABARA YA VETERINARI TANZANIA

 


Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania Dkt. Stella Bitanyi akizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) leo Oktoba 21,2022 alipokutana nao kuzungumzia majukumu ya Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Idara ya Habari Maelezo (Dodoma).


Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari - Maelezo Bi. Zamaradi Kawawa akitoa neno kabla ya kumkaribisha Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania Dkt. Stella Bitanyi kuzungumza na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) leo Oktoba 21,2022 alipokutana nao kuzungumzia majukumu ya Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Idara ya Habari Maelezo (Dodoma).


Meneja wa Wakala ya Veterinari Tanzania (TVLA) kituo cha Dodoma Dkt. Japhet Nkangaga (kushoto) akifuatilia kwa makini hotuba ya Mtendaji Mkuu wa Wakala hiyo Dkt. Stella Bitanyi alipokuwa akizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) leo Oktoba 21,2022 alipokutana nao kuzungumzia majukumu ya Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Idara ya Habari - Maelezo (Dodoma) kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari - Maelezo Bi. Zamaradi Kawawa.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

LESENI, VIBALI VYA MAZAO YA MIFUGO NA VYAKULA VYA SAMAKI KUTOLEWA KWA NJIA YA KIELEKTRONIKI

DKT. MHEDE AONGOZA ZOEZI LA UCHANJAJI WA MIFUGO MKOANI IRINGA, WAFUGAJI WAPONGEZA HATUA YA SERIKALI

SERIKALI KURASIMISHA BIASHARA YA MABONDO