Nav bar

Alhamisi, 14 Januari 2021

KIKAO KAZI CHA KUANDAA MWONGOZO WA KUSIMAMIA RASILIMALI ZA UVUVI KWENYE MAJI MADOGO NA MAENEO OEVU NCHINI


Kaimu Katibu Mkuu Sekta ya Uvuvi, Bw. Amosi Machilika akisoma hotuba kwa niaba ya Katibu Mkuu Sekta ya Uvuvi, Dkt. Rashid Tamatamah wakati wa kikao kazi cha kuandaa mwongozo wa kusimamia Rasilimali za Uvuvi kwenye maji madogo na maeneo oevu nchini kwenye ukumbi wa Chuo cha mipango jijini Dodoma. 14/01/2021


Kaimu Mkurugenzi wa Uvuvi, Bi. Merisia Sebastian Mparaza akieleza lengo la kuandaa mwongozo wa kusimamia Rasilimali za Uvuvi kwenye maji madogo na maeneo oevu nchini wakati wa kikao hichi kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi leo kwenye ukumbi wa Chuo cha mipango jijini Dodoma. 14/01/2021

Mkurugenzi wa Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi Tanzania (TAFIRI), Dkt. Ismail Kimirei akichangia mada wakati wa kikao cha kuandaa mwongozo wa kusimamia Rasilimali za Uvuvi kwenye maji madogo na maeneo oevu nchini wakati wa kikao hichi jijini Dodoma. 14/01/2021

 


Mkurugenzi wa Idara  ya Utafiti, Mafunzo na Ugani  Sekta ya Uvuvi, Dkt. Erastus Mosha akichangia hoja kwenye kikao kazi cha kuandaa mwongozo wa kusimamia Rasilimali za Uvuvi kwenye ukumbi wa Chuo cha mipango jijini Dodoma leo 14/01/2021


Kaimu Katibu Mkuu Sekta ya Uvuvi, Bw. Amosi Machilika ( wa pili kutoka kulia mbele) akiwa kwenye picha ya pamoja na washiriki wa kikao cha kuandaa mwongozo wa kusimamia Rasilimali za Uvuvi kwenye maji madogo na maeneo oevu nchini mara baada ya kikao hichi kwenye ukumbi wa  Chuo cha mipango jijini Dodoma. (14/01/2021)


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni