Mwenyekiti wa Kikosi kazi cha
Kitaifa cha Uandaaji wa Mpango wa utekelezaji wa Mwongozo wa Hiari wa
kuhakikisha Uvuvi Mdogo Unakuwa Endelevu, Alhaj Yahya Ibrahim Mgawe akitoa neno
la utangulizi kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi kufungua warsha ya Uandaaji wa
Mpango huo iliyofanyika kwenye Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji mkoani
Kigoma. (15.09.2020)
Mwakilishi wa Mkurugenzi wa
Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji, Bw. Ferdinand Filimbi akifungua warsha
ya uandaaji wa Mpango wa utekelezaji wa Mwongozo wa Hiari wa kuhakikisha Uvuvi
Mdogo Unakuwa Endelevu iliyofanyika kwenye Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji
mkoani Kigoma. (15.09.2020)
Bi. Upendo Hamidu
akiwasilisha mada kwenye warsha ya uandaaji wa Mpango wa utekelezaji wa
Mwongozo wa Hiari wa Kuhakikisha Uvuvi Mdogo Unakuwa Endelevu iliyofanyika
kwenye Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji mkoani Kigoma. (15.9.2020)
Baadhi ya washiriki wa warsha
ya uandaaji wa Mpango wa utekelezaji wa Mwongozo wa Hiari wa Kuhakikisha Uvuvi
Mdogo Unakuwa Endelevu wakifuatilia uwasilishwaji wa mada kwenye warsha hiyo
iliyofanyika kwenye Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji mkoani Kigoma.
(15.9.2020)
Kikosi kazi cha kitaifa cha
uandaaji wa Mpango wa utekelezaji wa Mwongozo wa Hiari wa kuhakikisha Uvuvi
Mdogo Unakuwa Endelevu kwenye picha ya pamoja na baadhi ya watumishi wa Wizara
ya Mifugo na Uvuvi na Wakuu wa Idara zilizo chini ya Halmashauri ya Manispaa ya
Kigoma Ujiji, Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma, wawakilishi kutoka FETA na Benki
mara baada ya ufunguzi rasmi wa warsha ya ukusanyaji maoni ya utekelezaji wa
Mpango huo iliyofanyika mjini Kigoma.
(15.9.2020)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni