KATIBU MKUU SEKTA YA UVUVI DKT. RASHID TAMATAMAH ATEMBELEA VIZIMBA VYA KUFUGIA SAMAKI :KONGWA FARM WILAYA YA MAGU MKOANI MWANZA.(09/08/2020)

Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Uvuvi) Dkt. Rashid Tamatamah (kulia) akifafanua jambo kwa mmiliki wa shamba la kufugia samaki linalojulikana kama "Konga Farm" Bi Loycana Mwidunda alipofika kwenye Vizimba vya shamba hilo vilivyopo Wilaya ya Magu Mkoani Mwanza (09.08.2020).


Mmiliki wa Shamba la Kufugia samaki linalojulikana kama "Konga Farm" Bi. Loycana Mwidunda (katikati) akitoa maelezo kuhusu Shamba lake kwa
Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Uvuvi) Dkt. Rashid Tamatamah (kushoto) na Mkurugenzi wa Idara ya Ukuzaji Viumbe Maji Dkt. Nazaeli Madala (kulia) wakati wa ziara ya viongozi hao Wilayani Magu (09.08.2020) 

 


 

Waliokaa mbele Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Uvuvi) Dkt. Rashid Tamatamah (kulia) na Mkurugenzi wa Idara ya Ukuzaji Viumbe Maji Dkt. Nazaeli Madala wakiwa kwenye boti kuelekea kwenye vizimba vya kufugia samaki vya Shamba la "Konga Farm" vilivyopo Wilaya ya Magu Mkoani Mwanza (09.08.2020).


Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

LESENI, VIBALI VYA MAZAO YA MIFUGO NA VYAKULA VYA SAMAKI KUTOLEWA KWA NJIA YA KIELEKTRONIKI

DKT. MHEDE AONGOZA ZOEZI LA UCHANJAJI WA MIFUGO MKOANI IRINGA, WAFUGAJI WAPONGEZA HATUA YA SERIKALI

SERIKALI KURASIMISHA BIASHARA YA MABONDO