Nav bar

Jumanne, 23 Juni 2020

WAZIRI WA MIFUGO NA UVUVI MHE. LUHAGA MPINA AFANYA UTEUZI.


Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina amemteua Prof. Malongo Richard Mlozi kuwa Mwenyekiti  wa Bodi ya Wakala ya Vyuo vya Mifugo Tanzania(LITA) na amewateua wafuatao kuwa Wajumbe wa Bodi ya LITA. Kupata orodha ya wajumbe walioteuliwa bofya hapa

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni