WAZIRI WA MIFUGO NA UVUVI MHE. LUHAGA MPINA AFANYA UTEUZI.


Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina amemteua Prof. Malongo Richard Mlozi kuwa Mwenyekiti  wa Bodi ya Wakala ya Vyuo vya Mifugo Tanzania(LITA) na amewateua wafuatao kuwa Wajumbe wa Bodi ya LITA. Kupata orodha ya wajumbe walioteuliwa bofya hapa

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

WATAALAMU WATAKIWA KUKUSANYA TAKWIMU SAHIHI ZA KITAFITI

UTEKELEZAJI WA UFUGAJI SAMAKI KWA VIZIMBA WAANZA ZIWA TANGANYIKA

TANZANIA DAIRY BOARD