Nav bar

Jumatatu, 22 Juni 2020

UHUISHAJI WA MAJINA YA MADAKTARI KWENYE DAFTARI LA USAJILI.

Madaktari wafuatao wanatakiwa kuhuisha  majina yao kwenye daftari la usajili wa madaktari wa mifugo kabla ya tarehe 25/06/2020. kupata orodha ya madaktari ambao hawajahuisha majina yao, bofya hapa

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni