MHE. MPINA ATEUWA WAJUMBE WA BARAZA LA VETERINARI TANZANIA.

 Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina (mb) kwa mamlaka aliyonayo chini ya kifungu cha 4(1) cha sheria ya veterinari Na.16 ya mwaka 2003 amewateuwa wajumbe wa Baraza la Veterinari Tanzania. kwa kuona majina ya wajumbe waliochaguliwa, bofya hapa

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

LESENI, VIBALI VYA MAZAO YA MIFUGO NA VYAKULA VYA SAMAKI KUTOLEWA KWA NJIA YA KIELEKTRONIKI

DKT. MHEDE AONGOZA ZOEZI LA UCHANJAJI WA MIFUGO MKOANI IRINGA, WAFUGAJI WAPONGEZA HATUA YA SERIKALI

SERIKALI KURASIMISHA BIASHARA YA MABONDO