MHE. MPINA ATEUWA WAJUMBE WA BARAZA LA VETERINARI TANZANIA.

 Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina (mb) kwa mamlaka aliyonayo chini ya kifungu cha 4(1) cha sheria ya veterinari Na.16 ya mwaka 2003 amewateuwa wajumbe wa Baraza la Veterinari Tanzania. kwa kuona majina ya wajumbe waliochaguliwa, bofya hapa

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

WATAALAMU WATAKIWA KUKUSANYA TAKWIMU SAHIHI ZA KITAFITI

UTEKELEZAJI WA UFUGAJI SAMAKI KWA VIZIMBA WAANZA ZIWA TANGANYIKA

TANZANIA DAIRY BOARD