Nav bar

Ijumaa, 4 Mei 2018

WAZIRI MPINA AKABIDHIWA HATI YA KIWANDA CHA NYAMA SHINYANGA

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina mwenye (suti miwani) akishuhudia utiaji saini wa hati ya makabidhiano ya Kiwanda cha nyama cha Shinyanga. Hati hiyo zilisainiwa na Mkurugenzi wa Ubinafsishaji  na Ufuatiliaji Jones  Mwalemba(aliyekaa upande wa kushoto)  kutoka Hazina kwa upande wa Serikali na Balozi  Fouad Mustafa (aliyeinama upande wa kulia)  kwa upande wa Kampuni ya Albwardy Investment Group aliyemwakilisha  mmiliki wa Kampuni hiyo bwana Ali Saeed Juma Albwardy.

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina (aliyekaa mwenye miwani) akishuhudia ubadilishanaji wa hati ya makabidhiano ya Kiwanda cha nyama cha Shinyanga.Kushoto ni Mkurugenzi wa Ubinafsishaji  na Ufuatiliaji Jones  Mwalemba  kutoka Hazina aliyeiwakilisha Serikali na kulia ni Balozi  Fouad

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni