Nav bar

Jumatatu, 17 Oktoba 2016

WAKUU WA VITENGO WAWILI WASTAAFU KAZI NA KUAGWA NA WATUMISHI TAREHE 17/10/2016 MVUVI HOUSE

keki zilizoandaliwa na Watumishi wa Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi kwa ajili ya kuwaaga wastaafu wa Wizara hiyo iliyofanyika Mvuvi House
 Mkurugenzi wa Ugavi na Manunuzi Bw. Gastory Lugali akiwa na Mkurugenzi wa Utafiti, Mafunzo na Ugani Bw. Herbert wakikata keki kwa pamoja iliyoandaliwa na Watumishi wa Wizara hiyo
Mkurugenzi wa Ugavi na Manunuzi Bw. Gastory Lugali akiwa na Mkurugenzi wa Utafiti, Mafunzo na Ugani Bw. Herbert Lyimo wakilishana keki hiyo
Mkurugenzi wa Utafiti wa mafunzo na Ugani Bw. Herbert Lyimo akizungumza machache na kuwaaga Watumishi wote kwa kushirikiana kufanya kazi  kwa umoja na kuwatakia kila la kheri katika kujenga taifa
Mkurugenzi wa Manunuzi na Ugavi Bw. Gastory Lugali akitoa machache na kuwasihi watumishi kuwa na umoja na mshikaano ili kufikia malengo
Katibu Mkuu Mifugo Dkt. Mary Mashingo akilishwa keki na  Mkurugenzi wa Utafiti, Mafunzo na Ugani Bw. Herbert Lyimo

Katibu Mkuu Uvuvi Dkt. Yohana Budeba akilishwa keki na Mkurugenzi wa Manunuzi na Ugavi Bw. Gastory Lugali 
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu Bi. Tabu Chando akilishwa keki na Mkurugenzi wa Manunuzi na Ugavi Bw. Gastory Lugali 
Picha ya pamoja ni Katibu Mkuu Mifugo Dkt. Mary Mashingo pamoja na Katibu Mkuu Uvuvi Dkt. Yohana Budeba wakiwa na wastaafu ambapo kushoto ni  Mkurugenzi wa Manunuzi na Ugavi Bw. Gastory Lugali akifatiwa na Mkurugenzi wa Utafiti, Mafunzo na Ugani Bw. Herbert Lyimo wakiwemo Watumishi wa Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni