ZIARA YA NAIBU WAZIRI NA WAANDISHI WA HABARI KATIKA KAMPUNI YA INTERCHICK MBEZI MAKONDE TAREHE 28/07/2016Mhe.

Naibu Waziri wa Kilimo Mifugo na Uvuvi Mhe. William Tate Ole Nasha akizungumza na wafanyakazi wa Kampuni ya Interchick iliyopo mbezi

Naibu Waziri wa Kilimo Mifugo na Uvuvi Mhe. William Tate Ole Nasha akipewa maelezo jinsi ya kuchanganya chakula cha kuku


Chakula cha kuku
Naibu Waziri wa Kilimo Mifugo na Uvuvi Mhe. William Tate Ole Nasha akiuliza swali  kwa Mtendaji Mkuu wa Kampuni Bw. Orson Taylor


Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

WATAALAMU WATAKIWA KUKUSANYA TAKWIMU SAHIHI ZA KITAFITI

TANZANIA DAIRY BOARD

LESENI, VIBALI VYA MAZAO YA MIFUGO NA VYAKULA VYA SAMAKI KUTOLEWA KWA NJIA YA KIELEKTRONIKI