MKUTANO WA MAJADILIANO KUHUSU "SUSTAINABLE FISHERIES PARTNERSHIP AGREEMENT" (SPPA) KATI YA TANZANIA NA NCHI ZINAZOUNDA JUMUIYA YA UMOJA WA NCHI ZA ULAYA ILIYOFANYIKA MVUVI HOUSE TAREHE 01/07/2016

Katibu Mkuu wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi (U) Dkt. Yohana Budeba akifungua mkutano kuhusu Sustainable Fisheries Partnership Agreement (SFPA) " kati ya Tanzania na nchi zinazounda Jumuiya ya Umoja wa nchi za ulaya". kushoto kwake ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Uvuvi Bw. Hosea Mbilinyi na kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi Dkt. Islam Seif kutoka Zanzibar
Mkurugenzi wa Maendeleo ya Uvuvi Bw. Hosea Mbilinyi akitoa maelezo mafupi kuhusu uvuvi na kujadili kuhusu uzoefu kutokaTaasis mbalimbali kuhusu SFA katika nchi zilizojiunga kulia kwake ni Katibu Mkuu (U) Dkt. Yohana Budeba (kushoto) ni Naibu Mkururgenzi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bahari Kuu Dkt. Omary Amiri
Wakurugenzi na Watumishi  kutoka  WWF, DSFA, ZMA, FETA, MPRU, na TAFIRI wakisikiliza taarifa inayosomwa na Katibu Mkuu (U) Dkt. Yohana Budeba hayupo Pichani
Katibu Mkuu (U) Dkt. Yohana Budeba akisoma taarifa yake kwa Wakurugenzi, Watumishi kutoka Taasis mbalimbali kuhusu SFA katika nchi zilizojiunga

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

LESENI, VIBALI VYA MAZAO YA MIFUGO NA VYAKULA VYA SAMAKI KUTOLEWA KWA NJIA YA KIELEKTRONIKI

DKT. MHEDE AONGOZA ZOEZI LA UCHANJAJI WA MIFUGO MKOANI IRINGA, WAFUGAJI WAPONGEZA HATUA YA SERIKALI

SERIKALI KURASIMISHA BIASHARA YA MABONDO