MKUTANO WA SITA WA JUKWAA LA WADAU WA TASNIA YA MAZIWA (DDF) ULIOFANYIKA TAREHE 29/05/2016 KATIKA UKUMBI WA HALMASHAURI YA MJI WA NJOMBE

MKURUGENZI WA UZALISHAJI NA MASOKO BI.ANUCIATA NJOMBE KUTOKA WIZARA YA KILIMO,MIFUGO NA UVUVI AKIWASLIMIA WASHIRIKI WA MKUTANO HUO

MWENYEKITI WA JUKWAA HILO BI.RUTH RYOBA AKIFUNGUA MKUTANO HUO

WASHIRIKI WAKIWA TAYARI KABISA KUWASIKILIZA WATOA MADA KATIKA MKUTANO HUO



WASHIRIKI WA MKUTANO WA SITA WA JUKWWA LA WADAU WA TASNIA YA MAZIWA NCHINI WAKISIKILIZA KWA MAKINI BAADHI YA MADA ZINAZOENDELEA KUTOLEWA



MWENYEKITI WA BODI YA MAZIWA NCHINI DKT.AICHI KITALYI  AKMSIKILIZA KWA MAKINI MMOJA WA WASHIRIKI WA MKUTANO HUO ALIPOULIZA SWALI,HAYUPO PICHANI KULIA KWAKE NI DKT.MRUTU.

WASHIRIKI WA MKUTANO HUO WAKIFUATILIA KWA UMAKINI MKUBWA MADA ZINAZOENDELEA KUTOLEWA KATIKA UKUMBI WA HALMASHAURI YA MJI WA NJOMBE.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

LESENI, VIBALI VYA MAZAO YA MIFUGO NA VYAKULA VYA SAMAKI KUTOLEWA KWA NJIA YA KIELEKTRONIKI

DKT. MHEDE AONGOZA ZOEZI LA UCHANJAJI WA MIFUGO MKOANI IRINGA, WAFUGAJI WAPONGEZA HATUA YA SERIKALI

SERIKALI KURASIMISHA BIASHARA YA MABONDO