Nav bar

Ijumaa, 8 Aprili 2016

ZOEZI LA KUTOA VYETI KWA WATAALAMU WALIOFUZU KUTUMIA MASHINE ZA UHAKIKA UBORA WA VYAKULA ILIOFANYIKA TVLA TAREHE 08/04/2016

picha ya pamoja ni wahitimu waliojifunza kutumia vifaa vya kisasa vya kuhakiki ubora wa vyakula vya mifugo ambavyo vimefadhiliwa na mradi wa  US Grain katika Wakala wa Maabara ya mifugo Tanzania

Mkurugenzi Mkuu Bw. Tokkie Groenewald  kutoka kampuni ya Simsoft Development akielezea umuhimu wa mashine hizo ambazo zinauwezo mkubwa wa kutoa majibu sahihi kwa sampuli mbalimbali

Kipimo cha kutafiti Ureas katika soya

Bw. Henry Mlundachuma akielezea matumizi ya kifaa cha kisasa katika kuhakiki ubora wa soya

mmoja wa mtafiti akionesha PH - meter inayotumika kupimia ubora wa sampuli ya soya kama inafaa kutumika

Kipimo cha NIR S inayotumika kupimia viinilishe vya kuhakiki ubora wa vyakula vya mifugo

Bw. Henry Mlundachuma akipokea cheti baada ya kupata mafunzo kwa ajili ya kufahamu matumizi ya vifaa vya kisasa vilivyoletwa na kampuni ya  US grain    vya kuhakiki vyakula vya mifugo vinavyotengeneza na kampuni mbalimbali kukutumia vipimo vya

Bi Mary Ngowi akipokea cheti na yeye kutoka kwa Dkt. Henry Maguisha akipokea cheti baada ya kupata mafunzo kwa ajili ya kufahamu matumizi ya vifaa vya kisasa vilivyoletwa na kampuni ya US grain

Bi. Mary N

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni