Nav bar

Jumatatu, 18 Januari 2016

NAIBU WAZIRI WA KILIMO MIFUGO NA UVUVI ATEMBELEA KIJIJI CHA ZUGIMLOLE WILAYA YA URAMBO NA KALIUWA TAREHE 15/01/2016

Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo Mifugo na Uvuvi Mhe.William Tate Ole Nasha akiwa katika ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua na aliyesimama ni Katibu Tawala wa Wilaya akitoa maelezo. 

Wanakijiji wakisaliomiana na Naibu Waziri Mhe.William Tate Ole Nasha katika kijiji cha Zugimlole Wilaya ya Kaliuwa

Naibu Waziri Mhe.William Tate Ole Nasha akizungumza na wanakijij kuhusu suala la ukataji wa miti ovyo kunapoteza uoto wa asili

Bw. Hamisi Kasere mwanakiji wa Zugimlole akieleza kero yake kutaka kuongezewa eneo kwasababu ya uwingi wa watu kwa sasa

Mkulima wa kijiji cha Zugimlole Bw. Amos Kasanga akitoa kero zake kwa Mhe Naibu Waziri juu ya mbolea ya ruzuku

Bi. Chiku Kapufi Mwanakijiji akizungumzia swala la mbolea ziwe zinafika kwa wakati


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni