Nav bar

Jumatatu, 18 Januari 2016

MHE NAIBU WAZIRI KATIKA ZIARA YAKE ALIPOTEMBELEA WILAYA YA MLELE NA KIJIJI CHA MWANKULU TAREHE 12 - 13/01/2016

Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo Mifugo Uvuvi Mhe.William Tate Ole Nasha akisaini kitabu cha Wageni katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Mlele.

Mkuu wa Wilaya ya Mlele Bw. Issa Suleiman akisoma taarifa fupi kwa Naibu Waziri Mhe. William Tate Ole Nasha 

Wanakijiji wakisikiliza kwa makini maelezo kutoka kwa Naibu Waziri Mhe. William Tate Ole Nasha

Naibu Waziri Mhe.William Tate Ole Nasha akitoa fursa kwa Wanakijiji kueleza kero zao bila hofu yoyote

Bw. Eleman Katala Mkulima Wilaya ya Mlele akieleza kero yake kuhusu malipo ya dola hawana utaalamu huo 

moja kati ya njia ya kuelekea kijiji cha Mlele ambapo daraja limekatika na wananchi wanapata tabu ya kuvuka kutokana na kasi kubwa ya maji

Bw. Innko Afisa Kilimo wa Mkoa akijitambulisha kwa Wananchi wa Kijiji cha Mwankulu Wilaya ya Mpanda
Naibu Waziri Mhe.William Tate Ole Nasha akizungumza na wanakijij na kuwaahidi kushughulikia migogoro sugu ya Wafugaji na Wakulima na kero mbalimbali hasa Vyama vya Ushirika

Bw. Nasonga ligima mwanakijiji wa Mwankulu akiomba kijiji kipatiwe  bwana shamba wa kuweza kuwasaidia katika shughuli zao za kilimo

Mkulima Bi. Yunis Moses akitoa ushauri kwa Watendaji juu ya upatikanaji wa mbegu bora pamoja na mbolea ya ruzuku  kwa wakati.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni