THE 1ST e GOVERNMENT ANNUAL CONFERENCE 2015 AT AICC ARUSHA 17TH-20TH AUGUST 2015

Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa Umma Bw. Hab Mkwizu akifungua  rasmi The 1st e Government annual Conference 2015 AICC Arusha katika ukumbi wa Simba hall
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Serikali Mtandao Dr. Jabiri K. Bakari akitoa maelezo mafupi kuhusu mkutano huo
Bw. Tan Kim Leng kuoka Singapore akiwasilisha uzoefu wa Nchini Singapore jinsi walivyofanikiwa katika matumizi ya e Government

Mkutano umepambwa na bidhaa mbalimbali za asili kutoka kwa Wajasiriamali Mkoani Arusha



Baadhi ya Washiriki wakiwa katika mkutano wakifuatilia mada inayotolewea

Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Bw. Edoh Mapunda akiwakaribisha Washiriki wa Mkutano
Mgeni Rasmi Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa Umma Bw. Hab Mkwizu akiwa katika picha ya pamoja na Maafisa Habari
        
Mgeni rasmi  Bw. Hab Mkwizu akiwa katika picha ya pamoja na Maafisa TEHAMA

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

LESENI, VIBALI VYA MAZAO YA MIFUGO NA VYAKULA VYA SAMAKI KUTOLEWA KWA NJIA YA KIELEKTRONIKI

DKT. MHEDE AONGOZA ZOEZI LA UCHANJAJI WA MIFUGO MKOANI IRINGA, WAFUGAJI WAPONGEZA HATUA YA SERIKALI

SERIKALI KURASIMISHA BIASHARA YA MABONDO