Nav bar

Jumatatu, 20 Julai 2015

RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHE. DKT.JAKAYA MRISHO KIKWETE AZINDUA MRADI WA LIVESTOCK MODERNIZATION INITIATIVE




Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimsikiliza kwa Makini Muendesha Mada ya Livestock Modenization Initiative Dkt. Kaush Arha  (hayupo pichani) Kama Utangulizi kabla ya Kuzindua Mpango huo katika Hoteli ya Kilimanjaro Jijini Dar-Es-Salaam

Dkt Kaush Arha wakati akitoa Maelezo ya Utangulizi ya Mpango Kabambe wa Jitihada za Kuboresha Sekta ya Mifugo (Livestock Modenization initiative) muda mfupi kabla ya kuzinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Baadhi ya Washiriki wa Mpango Kabambe wa Jitihada za Kuboresha Sekta ya Mifugo (Livestock Modenization initiative) Wakimsikilisha Muongoza Mada akitoa utangulizi wa Mpango huo.(hayupo pichani)

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt. Yohana Budeba Akisoma Hotuba kwa niaba ya Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe Dkt Titus Mlengeya Kamani  kabla ya kumkaribisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Jakaya Mrisho Kikwete (wa kwanza kulia) akifatiwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe Kapteni Mstaafu Chiku Ghalawa kwa niaba ya Wakuu wa Mikoa yenye Mifgo Mingi Tanzania (mwenye kilemba) wakifatilia kwa Makini Hotuba ya Waziri iliyosomwa kwa niaba yake na Katibu Mkuu wa Wizara (hayupo pichani)  

Baadhi ya Washiriki wa Mpango Kabambe wa Jitihada za Kuboresha Sekta ya Mifugo (Livestock Modenization initiative) Wakimsikilisha Muongoza Mada akitoa utangulizi wa Mpango huo.(hayupo pichani)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Jakaya Mrisho Kikwete Akitoa Hotuba kabla ya Kuzindua Mpango Kabambe wa Jitihada za Kuboresha Sekta ya Mifugo (Livestock Modenization initiative) katika Hoteli ya Kilimanjaro Tarehe 20/07/2015



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Jakaya Mrisho Kikwete Akiangalia Kitabu ambacho anatakiwa kukizindua ili Asaini . Waliomzunguka ni Mabalozi, Wakuu wa Mikoa na Sekretariet ya  Mpango Kabambe wa Jitihada za Kuboresha Sekta ya Mifugo 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Jakaya Mrisho Kikwete Akisaini Kitabu cha Mpango Kabambe wa  Jitihada za Kuboresha Sekta ya Mifugo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Uongozi wa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Wadau wa Sekta ya Mifugo nje ya Ukumbi wa Hoteli ya Kilimanjaro

Baadhi ya Washiriki wa Mpango Kabambe wa Jitihada za Kuboresha Sekta ya Mifugo (Livestock Modenization initiative) Wakimsikilisha Muongoza Mada akitoa utangulizi wa Mpango huo.(hayupo pichani)








                                









Hakuna maoni:

Chapisha Maoni