KATIBU MKUU WIZARA YA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI KATIKA VIWANJA VYA MAONESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA TAREHE 21/06/2015



Katibu Mkuuwa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt Yohana Budeba Akiongea na Bi Joyce Daffa ambaye anawakilisha Banda la Huduma za Mifugo katika Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Dar-Es-Salaam

Katika picha ni Bibi Mary Yongolo wa Utafiti Ugani na Mafunzo kushoto Bibi Judith Mhina Mwasiliano katikati na Bibi Martha Ngwira wa Uzalishaji Mifugo na Masoko
Add caption

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

LESENI, VIBALI VYA MAZAO YA MIFUGO NA VYAKULA VYA SAMAKI KUTOLEWA KWA NJIA YA KIELEKTRONIKI

DKT. MHEDE AONGOZA ZOEZI LA UCHANJAJI WA MIFUGO MKOANI IRINGA, WAFUGAJI WAPONGEZA HATUA YA SERIKALI

SERIKALI KURASIMISHA BIASHARA YA MABONDO