WAZIRI WA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI MHE.DKT TITUS KAMANI AZINDUA DUKA LA NYAMA LA NARCO KIBAIGWA MKOA WA DODOMA

Kikundi cha ngoma wakitumbuiza pamoja na Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe.Dkt Titus Kamani



Waziri wa Maendeleo wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe.Dkt Titus Kamani akisaini katika kitabu cha wageni alipotembelea duka la nyama la NARCO kibaigwa mkoani Dodoma


Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi  Mhe.Dkt Titus Kamani akizindua duka la nyama la NARCO kibaigwa mkoani Dodoma
Meneja wa ranchi ya Kongwa Bw. Bizimungu wakibadilishana mawili matatu na Mhe. Dkt. Titus Kamani

Dkt. John Mbogoma Meneja Mkuu wa kampuni za Ranchi Tanzania akitoa hotuba fupi


Dkt. John Mbogoma Meneja Mkuu wa kampuni za Ranchi Tanzania wakipeana mikono kumkaribisha Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt.Titus Kamani




Ng'ombe wa nyama kutoka Ranchi ya Kongwa katika mamlaka ya mji mdogo kibaigwa 







Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

LESENI, VIBALI VYA MAZAO YA MIFUGO NA VYAKULA VYA SAMAKI KUTOLEWA KWA NJIA YA KIELEKTRONIKI

DKT. MHEDE AONGOZA ZOEZI LA UCHANJAJI WA MIFUGO MKOANI IRINGA, WAFUGAJI WAPONGEZA HATUA YA SERIKALI

SERIKALI KURASIMISHA BIASHARA YA MABONDO