Nav bar

Jumamosi, 15 Novemba 2014

WAZIRI KAMANI ASHIRIKI MKUTANO WA KUJADILI MKAKATI WA MAENDELEO WA SEKTA YA MIFUGO NAIROBI KENYA


Dkt . Titus Mlengeya Kamani (Mb)  Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Akishiriki  Kwenye Mkutano wa Mawaziri Wenye Dhamana ya Sekta ya Mifugo.Kujadili Mkakati wa Maendeleo wa Sekta ya Mifugo Afrika kwa Kipindi cha 2015-2035 (The Livestock Development Strategy for Africa -LiDeSa 2015-2035).  Katika ukumbi wa Mikutano wa AU-IBR Nairobi, Kenya. 
Picha ya Pamoja ya Washiriki wa Mkutano wa Kujadili Mkakati wa Maendeleo wa Sekta  ya Mifugo Afrika kwa Kipindi cha 2015-2035 (The Livestock Development Strategy for Africa -LiDeSa 2015-2035).  Katika ukumbi wa Mikutano wa AU-IBR Nairobi, Kenya. 

 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni