Nav bar

Ijumaa, 24 Oktoba 2014

WAZIRI KAMANI ATEMBELEA SHAMBA LA SAMAKI WA MAPAMBO UKONGA CICHILD FARM WALIO NA SOKO ZURI NJE YA NCHI


Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi  Mhe. Dkt Titus Kamani alipotembelea shamba la samaki wa mapambo aina ya Cichild Farm Ukonga, samaki  wanaopatikana ziwa Tanganyika wenye upekee duniani
Waziri Kamani akionyesha samaki wa aina mbalimbali ambao alipata maelezo yake jinsi ya kuwapata, kuwahifadhi kuwasafirisha na kukaa kwa muda Cichld Farm  Ukonga kabla ya kusafirishwa nje ya nchi

Waziri Kamani akijaribu kumkamata mmoja wa samaki hao na kumuangalia kwa karibu, pembeni mwa Waziri mwenye kofia ni Meneja anayehudumia shammba hilo Bw Yusuf Mohammed
Kifaa aina ya Scoop kinaachotumika kumchota samaki bila kupata madhara
Muangalizi wa shamaba na mtaalam wa kusafirisha samaki kutoka Kigoma mpaka Dar-es-salaam






Mkurugenzi wa shamba la Ukonga Cichld Farm Bibi Sophia Mruma  akimuelezea Mhe Kamani Changamoto na nembo za kusafirisha samaki hao nje ya nchi wengi hupelekwa Marekani
Mhe Waziri Kamani akisisitiza umuhimu wa shamba hilo kuweka nembo, kuwa samaki hao wanatoka Tanzania 
 
Mpiga picha wa TBC - 1 Bi Eva Sessoa ,Mwandishi na Mpiga picha alikuwa mmoja wapo waliotembelea shamba hilo kw aajili ya kuhabarisha Umma mwenye video camera
Mkurugenzi wa shamba la Ukonga Cichild Farm akimshukuru Mhe Kamani kwa kutembelea shama lake


Mhe Waziri Kamani akijibu baadhi ya Changamoto zinazokabili shamba hilo na kuwaelekeza kushirikiana na Wizara kupitia Idara ya Ukuzaji  Viumbe kwenye Maji, ili kutatua changamoto hizo
Mkurugenzi wa Shamba la Ukonga Cichild Farm Bibi Sophia Mruma

Mtaalam wa kudaivu Bw David akielezea changa moto za kudaivu mita 30 chini kutafuta samaki wa mapambo
Mkurugenzi wa shamba la Ukonga Cichild Farm akiagana na Mhe. Waziri Kamani


















































































































































Hakuna maoni:

Chapisha Maoni