Nav bar

Jumatatu, 8 Septemba 2014

UFUNGAJI WA MKUTANO WA WADAU WA SEKTA YA MIFUGO MALAIKA HOTELI MWANZA TAREHE 07/09/2014




MKURUGENZI MTENDAJI WA SHIRIKA LISILO LA KISERIKALI LA SUMMIT RANCH LTD KALAMBO DKT, JOSPER NDUASIMBE AKITOA MADA SIKU YA TATU YA MKUTANO WA WADAU WA SEKTA YA MIFUGO KABLA YA KUFUNGWA MKUTANO


Add caption
DKT JASPER NDUASIMBE AKITOA MADA KWENYE MKUTANO WA WADAU WA SEKTA YA MIFUGO KAMA INAVYOONEKANA KATIKA PICHA

MSEMA CHOCHOTE BW JOSEPH  AKIMKARIBISHA MWENYEKITI KUENDELEA NA RATIBA YAKE BAADA YA MTOA MADA KUMALIZA

MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA BUKOMBE NAYA NI KATI YA WASHIRIKI WA MKUTANO WA WADAU WA SEKTA YA MIFUGO WALIOSHIRIKI
 

MJASIRIAMALI WA MADAWA YA MIFUGO NA VYAKULA BW MSELEM AKIULIZA JAMBO WAKATI WA MKUTANO WA WADAU WA SEKTA YA MIFUGO ULIOFANYIKA MALAIKA HOTELI ILIYOPO KATIKA JIJI LA MWANZA. 


MWENYEKITI WA CHAMA CHA WADAU WA SEKTA YA MIFUGO KANDA YA ZIWA BW AKIULIZA JAMBO ILI APATE UFAFANUZI WAKATI WA MKUTANO WA WADAU WA SEKTA YA MIFUGO KATIKA HOTELI YA MALAIKA ILYOPO JIJI LA MWANZA
MWENYEKITI WA KIKAO CHA WADAU WA SEKTA YA MIFUGO NA WAZIRI WA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI MHE DKT TITUS KAMANI WATATU KUTOKA KULIA, AKIOMBA WADAU WA MIFUGO WALIOINGIA UKUMBINI KUSIMAMA NA KUJITAMBULISHA KWA PAMOJA, KABLA YA WAKURUGENZI WA SEKTA HIYO KUJIBU HOJA ZILIZOTOLEWA 

WADAU WA SEKTA YA MIFUGO KUTOKA MANYARA, MONDULI WALIOHUDHURIA KATIKA MKUTANO WAKISIMAMA NA KUJITAMBULISHA KATIKA MAKUNDI YAO KANMA WANAVYOONEKANA KATIKA PICHA
Add caption

MKURUGENZI UZALISHAJI NA MASOKO YA MIFUGO AKIJIBU BAADHI YA HOJA ZA WADAU WA SEKTA YA MIFUGO WAKATI WA MKUTANO WA WADAU WA SEKTA YA MIFUGO MALAIKA HOTELI ILYOPO JIJI LA MWANZA


KAIMU KATIBU MKUU WA WIZARA YA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI DKT YOHANA BUDEBA AKIFAFANUA JAMBO KABLA YA KUFUMGWA MKUTANO WA WADAU WA SEKTA YA MIFUGO

NAIBU KATIBU MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA BW AKISOMA MAAZIMIO YA MKUTANO WA WADAU WA SEKTA YA MIFUGO ULIOFANYIKA KATIKA HOTELI YA MALAIKA ILITOPO JIJI LA MWANZA  MUDA MFUPI KABLA YA KUAIRISHWA KIKAO HICHO MPAKA MWAKA 2015
MAAZIMIO YA MKUTANO WA WADAU WA SEKTA YA MIFUGO KAMA YALIVYOWASILISHWA NA NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA



MEZA KUU YA VIONGOZI KUTOKA KUSHOTO IGP ERNEST MANGU, MKUU WA MKOA WA MWANZA ENG ERNEST NDEKILO.NAIBU WAZIRI WA TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA MHE. AGGREY MWANRI,WAZIRI WA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI MHE DKT TITUS KAMANI (MWENYEKITI WA MKUTANO) NAIBU WAZIRI WA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI MHE KAIKA TELELE NA KATIBU MKUU WIZARA YA MALIASILI NA UTALII BIBI MAIMUNA TARISHI   
INSPECTA GENERALI WA POLISI MHE, ERNEST MANGU AKITOA MAELEZO YA JUKUMU LA POLISI KATIKA SUALA ZIMA LA MIGIYOGORO YA ARDHI KATI YA WAKULIMA NA WATUMIAJI WENGINE WA ARDHI WAKATI WA MKUTANO WA SEKTA YA MIFUGO ULIOFANYIKA MALAIKA HOTELI ILIOPO KATIKA JIJI LA MWANZA


 
NAIBU WAZIRI WA WIZARA YA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI MHE KAIKA TELELE AKIWASHUKURU WAJUMBE WALIOHUDHURIA MKUTANO WA WADAU WA SEKTA YA UVUVI NA KUWAOMBA WAFUGAJI WASIKATE TAMAA WAENDELEE KUWASILISHA HOJA ZAO KWENYE VIKAO KAMA HIVYO ILI VIPATIWE UFUMBUZI  


WADAU WA SEKTA YA MIFUGO WAKIFATILIA KWA MAKINI MUWASILISHA MADA
NAIBU WAZIRI WA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI MHE. KAIKA TELELE AKIHUTUBIA MKUTANO WA WADAU WA SEKTA YA MIFUGO SIKU YA MWISHO YA UFUNAJI WA MKUTANO HUO

INSPECTA GENERALI WA POLISI MHE. ERNEST MANGU AKITOA TAARIFA JUU YA USHIRIKISHWAJI WA POLISI KATIKA KUEPUSHA MIGOGORO KATI YA WAFUGAJI NA WATUMIAJI WENGINE WA ARDHI WAKATI WA MKUTANO WA WADAU WA SEKTA YA MIFUGO ULIOFANYIKA MALAIKA HOTELI KATIKA JIJI LA MWANZ 











WAZIRI WA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI MHE DKT TITUS KAMANI KATIKATI NA KULIA NI NAIBU WAZIRI WA TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA MHE AGGREY MWANRI WAKIANGALIA NGOMA YA KABILA LA KIMASAI WAKATI WA KUFUNGA MKUTANO WA WADAU WA SEKTA YA MIFUGO ULIOFANYIKA MALAIKA HOTELI JIJI LA MWANZA
NGOMA YA KABILA LA KIMASAI WAKICHESHA KWA FURAHA NA MADAHA MAKUBWA WAKATI WA KUFUNGA MKUTANO WA WADAU WA SEKTA YA MIFUGO KATIKA HOTELI YA MALAIKA KATIKA JIJI LA MWANZA













Hakuna maoni:

Chapisha Maoni